Recent content by pasikulola

  1. P

    JamiiForums Tanzania Ombi kwako mwenye mtaji(fedha), tulime/tufuge: mimi nina Nguvu na maarifa

    Kwa sasa napatikana iringa mkuu, japo nia yangu ni katika eneo tajwa nimefanyia shughuli hizo maeneo hayo na kupata uzoefu Sent using Jamii Forums mobile app
  2. P

    JamiiForums Tanzania Ombi kwako mwenye mtaji(fedha), tulime/tufuge: mimi nina Nguvu na maarifa

    Heshima kwenu,. Kama kichwa kinavyosomeka, nina ombi kwa yeyote anayeweza kuguswa anisaidie mtaji kwa njia ya kufanya kazi ya pamoja kwenye kilimo au ufugaji, hasa nyanya na kuku, kipaumbele kikiwa ni mikoa ya dar es salaam, pwani na mtwara(maboresho yanaweza kufanywa ikibidi). Binafsi nakosa...
  3. P

    JamiiForums Tanzania Niishi mjini au kijijini?

    Salamu kwenu nyote. Kama mada ilivotambulishwa, nina ukakasi wa kuamua kuishi mjini au kijijini, hasa katika kipindi ambacho nataka kutulia sehemu moja itakayokuwa makazi yangu ya kudumu. Mimi ni mwajiriwa serikalini. Tafadhali karibuni kwa michango yenu pande zote mbili.
Back
Top Bottom