Huyo mwanamke anapepo la ngono 100% na kama unabisha endelea na uwe muaminifu kushare siku tano zikiisha.
Na wewe pia nakushauri uokoke maana na wewe una shida. Ndoa na iheshimiwe na watu wote. Umeshindwa kuiheshimu ndoa yako kwa kumvulia mwanamke mwingine utupu wako tena ukampa na kifua...
kwanza nikupongeze kwa kujua wajibu wako. Ila jitahidi sana kuepuka kujiona kuwa hizo ni zake na zile ni za mumeo badala yake ona kama akaunti yako ni yenu na biashara yake ni yenu pia. Usiwaze tena kuhusu utofauti. Ndoa yenu itadumu sana.
Kuhusu swala hilo kutokea kwenye ndoa nyingine...
Nafikiri haya yanayoendelea kuhusiana na kukamatwa au sijui kuwekwa kizuizini kwa Tundu Lisu yanahusiana moja kwa moja na uchaguzi wa TLS...ni hatari,,,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.