1) Tuzalishe zaidi na tuuze nje
2) Tupunguze kununua nje hata vitu vinavyoweza tengenezwa nchini
3) Elimu itolewe watu wapende vitu vya Tanzania.
4) Makampuni ya huduma ya nje yafanyayo kazi hapa nchini yawe na account za dollar hapa hapa na yalipiwe kwenye account hizo.
5) Kuwe na uratibu wa...
Dira ya taifa na mambo yote ya kipaumbele kwa nchi na watu wake vitamkwe wazi wazi kwenye katiba. Vyama vya siasa wakati wa uchaguzi, vijinadi jinsi ya kutekeleza vipaombele hivyo vilivyo ndani ya katiba badala ya kila chama kuwa na ilani ya uchaguzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.