Me ni kijana mwenye miaka 26 nipo Dar es Salaam, naomba kuuliza pia mtu mwenye upeo mkubwa anisaidie kunishauri. Nina msichana nimeishi naye mda wa mwaka 1, mimi nafanya kazi naondoka asubuhi narudi jioni.
Yeye nimemfungulia duka na glosary sasa tatizo hajui hesabu vizuri alafu hajatulia...
Natafuta mchumba
Vigezo
1:awe na umri 20--25
2:awe mkristo
3:mweupe
4;yupo mkoa wa dar
5:ana kazi anajitegemea
6:asiwe na mtoto au kuzaa.
7:asiwe mwemba sana wala mnene san
Me nina mfanyabiashara pia mwajiriwa umri 26yrs sina mtoto.mweupe.mrefu mwembamba kiasi hizo ndo wasifu wangu
Ovyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.