Recent content by pascalgwami

  1. P

    Mh.Rais: Kupuuza Wanaopewa Mimba Shuleni ni Uasi.

    Hata hii thread nimeshindwa kumaliza kuisoma pale tu niligundua kua aliyeiandika anatetea et warudi shule... kaaaah et ni wadogo... wadogoooo..... muachen magufuli apige kazi jamani lazima tunyooshaneee ili tuishimiane halafu kumbuka kitu kina sheria na kanuni hvyo hata shule zinakanuni zake...
  2. P

    Kilimo cha Mihogo (Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

    Ahsante kaka ndo nahitaj nyie wenyeji mnipe direction nianzie wapi mana 75% ya success hua ipo kwenye planning.
  3. P

    Kilimo cha Mihogo (Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

    Hata mi nimetulia nawasubili wataalam wanipe elimu. Najua soon watafika
  4. P

    Kilimo cha Mihogo (Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

    Habari za majukumu wadau wa Jf. Nahitaj mwenye mawazo au mwenye kuelewa anishauri. Nahitaji kulima mihogo kwajir ya biashara lakin nahitaji ushaur wa aina gani ya mhogo wenye soko kwa sasa. Pia masoko yake yapoje kwasasa. Bila kusahau changamoto zake.kilimo nafanya mkoa wa Tanga. Naomba kuwasilisha.
Back
Top Bottom