Kiongozi wa dini maarufu mtandaoni, @prophet_nicolaus_suguye , hivi karibuni aliandika ujumbe kwenye ukurasa wake wa Instagram akihimiza maombi kwa taifa na mihimili mitatu ya dola, akidai kuona dalili za kuondoka kwa viongozi wakubwa. Ujumbe huo umeibua mjadala mkubwa miongoni mwa wananchi...
Kikao maalum kwa ajili ya wanaume kitafanyika April 2, Mlimani City na kimeandaliwa na @prophetipm kikilenga kuwakutanisha wanaume watu wazima pamoja na vijana ili kujadili masuala muhimu yanayohusu maisha, maadili na juhudi za kujiletea maendeleo binafsi.
Miongoni mwa wazungumzaji ni...
@prophet_nicolaus_suguye anakukaribisha kuabudu pamoja nao katika Kanisa la WRC Kivule Matembele ya Pili Jumapili hii ambapo ni Ibada maalum ya KUVUNJA CHUNGU CHA KICHAWI na kupita BONDE LA HELA
@prophet_nicolaus_suguye anakuita Jumapili hii March 15, 2025 na anasema “Adui anataka kusitissha...
Mtume Mwamposa akiongea na waandishi wa havari juu ya Mkesha wa Vuka na Chako unaofanyika leo katika Viwanja vya Kawe DSM amesema moja ya jambo lililomsikitisha mwaka 2025 ni mauaji yaliyotokea katika Uchaguzi wa October 29,2025
“Nimesikitika 2025 kgutokana shida iliyotokea katika Taifa letu...
Makamu Mwenyekiti wa UWT
adaiwa kutoa maelekezo wasimamizi wa Uchaguzi kuhusu Mtoto wake Wardat Nassir Ali anayegombea Uwakilishi Jimbo la Kiembesamaki Zanzibar ili aweze kupata ushindi.
Pia ameonekana akigawa rushwa hadharani kwa wajumbe wa mkutano huo nje ya ukumbi wa mkutano, na wajumbe...
Moja ya vijana waliokuwa wakisubiriwa kwa hamu kubwa kuchukua fomu ya kuwania ubunge Jimbo la Tunduma ni Thom Mnkondya, ambaye leo amekamilisha hatua hiyo muhimu.
Thom ameendelea kujizolea umaarufu mkubwa miongoni mwa vijana na wakazi wa Tunduma kwa ujumla kutokana na uaminifu, uchapakazi, na...
HAKUNA WA KUSHINDANI NA Dkt Samia Suluhu Hassan kwenye uchaguzi 2025, MNEC Ndele Mwaselela
Mjumbe wa halmashauri kuu ccm taifa (NEC) ndugu Ndele Mwaselela amewaambia wananchi wa mkoa wa kagera kuwa kazi nzuri za Dkt Samia Suluhu Hassan kwa miaka minne katika sekta zote zimefanya...
Mtumishi wa Mungu @prophet_nicolaus_suguye Anakukaribisha kwenye Ibada kubwa ya KUSHIKA VAZI LA KINABII Itakayofanyika siku ya Jumapili 23/3/2025 katika kanisa la The Word of Reconciliation Ministries (WRM) lililopo Ukonga - Kivule, Matembele ya pili jijini Dar es salaam.
Ibada ya kwanza...
Mtumishi wa Mungu Prophet Nicolaus Suguye Jumapili hii tarehe 16/3/2025 kwenye UZINDUZI WA WIKI YA OPERATION YA KUVUNJA, KUBOMOA NA KUHARIBU MALANGO YA KUZIMU NDANI YA FAMILIA ambapo Nabii Suguye atawavisha Waumini VAZI lake lenye MAAJABU YA KINABII.
“Biblia inasema kwenye Kitabu cha Mathayo...
Baada ya kuachiwa huru leo, Dkt. Slaa ametangaza kuwa yuko tayari kurejea CHADEMA na kufanya kazi bila kuchoka kusukuma mabadiliko nchini mwetu.
Pia, Soma: Dkt. Willibrod Slaa aachiwa huru, DPP hana nia ya kuendelea na kesi
Akiongea leo nje ya Mahakama ya Kisutu baada ya kuachiliwa huru baada...
Baada ya Mahakama ya Hakimu ya Hakimu Mkazi Kisutu kumuachilia huru Dk. wilbord Slaa baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.
Wakili wa Dk. Slaa amezungumza kile ambacho kimetokea Mahakamani hapo nakusema hakukua na majadiliano yoyote kati...
Mahakama ya Hakimu ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachilia huru Dk. wilbord Slaa baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.
Shauri Na.993 la mwaka 2025 Dk. Slaa alishtakiwa kuchapisha taarifa za uongo kupitia ukurasa wa X zamani Twitter
Leo...
Baba mdogo wa marehemu Naomi Marijani ambaye aliuawa na kuchomwa moto na magunia mawili ya mkaa, Robert Marijani amesema kuwa kama familia wameridhika na Hukumu iliyotolewa leo na upande wao sasa wanajiandaa kuzika upya mabaki ya mwili wa Naomi, baada ya kesi kumalizika.
Marijani ameyasema hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.