Recent content by PART ASIFIWE MALILA

  1. PART ASIFIWE MALILA

    JamiiForums Tanzania Je modern farms zinafananaje? Hiki ndo nilicho jifunza!

    Binafsi huwa najiuliza ni kwanini mashamba makubwa yanafanya vizuri sana. Ninapogusia mashamba makubwa ninamaanisha mashamba ya kisasa. Nimekuwa nikifanya study juu ya makala za kilimo, kuona baadhi ya mashamba wanavyo fanya kazi, na haya ndio mambo ya msingi niliojifunza. 1. Maabara ya shamba...
  2. PART ASIFIWE MALILA

    JamiiForums Tanzania JUMIKITA: Media zisimpe tena ushirikiano Madam Rita

    Yeah ni kweli
  3. PART ASIFIWE MALILA

    JamiiForums Tanzania JUMIKITA: Media zisimpe tena ushirikiano Madam Rita

    Nalitazama suala hili kwa pande mbili, moja kama dharau na ina impact kwa aliyedharauliwa na aliyedharau. Mbili ninatazama suala hili kama ubinadamu. Ni vizuri kujua kuwa watu hukosea na pengine hata yeye anajuta kwa kusema hivo. Nb: Maneno yako yanaweza kuwa mlango au kuwa kifungo kabla...
  4. PART ASIFIWE MALILA

    JamiiForums Tanzania Takwimu zetu kama watanzania zipoje? Naombeni shule katika hili

    Sijui kwa kweli, ila anasema ni utafiti wa 2021.
  5. PART ASIFIWE MALILA

    JamiiForums Tanzania KERO Mbona bei ya mbolea inazidi kupanda kila siku huku Dakawa?

    Zipo sababu kadhaa kwanza ni kupanda kwa bei ya mafuta so gharama za usafirishaji zitapanda, pili gharama za kuagiza mbolea na kodi za bandarini. Kumbuka baadhi ya mbolea hazitoki Tanzania. Tatu ni ushindani, demand ya mbolea ni kubwa sana kwa sababu sasa hivi haipatikani. Vita zimefanya...
  6. PART ASIFIWE MALILA

    JamiiForums Tanzania Takwimu zetu kama watanzania zipoje? Naombeni shule katika hili

    Nimeamka leo vizuri kabisa. Namshukuru Mungu, ila kuna habari nimeiona naombeni shule kidogo. Hivi nchi yetu ya TANZANIA inachukuaga takwimu au niseme ina watu wazuri katika ujenzi wa takwimu. Nauliza hivi kwa sababu kubwa moja, leo waziri wa vijana anasema kuwa ukosefu wa ajira kwa vijana ni...
  7. PART ASIFIWE MALILA

    JamiiForums Tanzania Jaribu kutumia red royale east west ( mbegu ya papai) kama unataka kulima papai. Na huu ndio muongozo wake

    Daaah hii carina f1 kuna mtu kanambia, ngoja nifanye utafiti. Y
  8. PART ASIFIWE MALILA

    JamiiForums Tanzania Yafahamu matumizi ya dawa ya Paraforce

    Nitasoma vizuri kuhusu round up. Nitakuja na majibu
  9. PART ASIFIWE MALILA

    JamiiForums Tanzania Yafahamu matumizi ya dawa ya Paraforce

    Ndio dawa nyingi hizi si nzuri hasa round up.
  10. PART ASIFIWE MALILA

    JamiiForums Tanzania Yafahamu matumizi ya dawa ya Paraforce

    Ni majani karibu yote. Ila mpaka sasa sishauri sana watu kutumia hizi weed killers. Ni hatari kwa udongo.
  11. PART ASIFIWE MALILA

    JamiiForums Tanzania Yafahamu matumizi ya dawa ya Paraforce

    Kama haujapanda chochote shambani kwako unapiga hii dawa, utasubiri muda wa week mbili. Then utaanza kilimo chako depending unalima nini. Lakini kama unaanza kufanya palizi yaani kuua magugu katika shamba mfano una mahindi shambani kwako hapo utapiga magugu pekee epuka kupuliza hadi kwenye...
  12. PART ASIFIWE MALILA

    JamiiForums Tanzania Yafahamu matumizi ya dawa ya Paraforce

    Washikaji eeeh Leo ninatamani niwape taarifa kidogo kuhusu dawa imayoitwa PARAFORCE. Sasa hii ni dawa inayotumika kuua magugu, nyasi na hata kukausha mazao wakati wa mavuno mfano zao la PAMBA. Paraforce ina ingridient inayoitwa paraquat dichloride viwango hutofautiana na muuzaji. Dawa hii...
  13. PART ASIFIWE MALILA

    JamiiForums Tanzania Jaribu kutumia red royale east west ( mbegu ya papai) kama unataka kulima papai. Na huu ndio muongozo wake

    Mkuu, kila mche unaweza kufika hadi miaka mitatu kama unatunza vizuri
Back
Top Bottom