Recent content by Paroko2024

  1. Paroko2024

    Mbowe: Mkisikia nimepigwa risasi iombeeni roho yangu ipumzike mahali pema peponi. Ninyi songeni mbele"

    Wenye D mbili tunakuelewa....hamna upizani katika nchi masikini Zaid ya kutumika kuleta machafuko na kuvuruga Ili kufanikisha mipango ya giant.
  2. Paroko2024

    Changamoto ya account yangu ya ajira portal

    Namba unayopiga siyo sahh
  3. Paroko2024

    Msongo wa mawazo kwa watumishi waliopo mbali na wenzi kwa sababu ya Utumishi wa Umma

    Wakuu mbalimbali JF imekuwa msaada sana kutafta changamoto kiwasemea wasokuwa na sauti. Kuna hii hapa, " bunge lililopita Mhe waziri wa utumishi Simbachawene, aliona kilio cha maelfu ya watumishi ambao wapo mikoa tofauti na wenzi wao, na akafafanua imechangia kuzorota Kwa usitawi wa jamii...
  4. Paroko2024

    SoC04 Lugha ya kufundishia na kujifunzia katika mfumo wa Elimu Tanzania

    Mfumo wa elimu wa Tanzania kwa miaka ya hivi karibuni umeonekana kulegalega mno. Hali inayosababisha kupoteza imani kwa mashirika ya ndani na nje katika kiwatumia wataalamu wetu. Ni ukweli usiopingika lugha inayotumika kufundishia inaweza kuwa sababu ya kujenga umahiri thabiti au uliolegalega...
Back
Top Bottom