Hua nakisoma sana,,,ili uijue biblia lazima ujue tofauti kati ya agano la kale na jipya,bila kijua huo utofauti utasumbuka sana, ndiyo maana ile waebrania 1:1--2 anasema MUNGU alisema zamani na watu law njia nyingi mwisho wa siku hizi amesema nasi kwa njia ya mwana (YESU)
Hatuko kwenye ndoto leo ,,,bali MUNGU amejifunua kwa njia ya maandiko matakatifu (Biblia) Kwahiyo ukisikia mtu anaesema MUNGU amenitokea kwenye ndoto huyo ni mwongo,, soma mhubiri 5:3
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.