Jambo muhimu ni kwamba watu maarufu kwa nafasi ya wasaani wasitutoe kwenye reli. Kwa vile wao wanataka sisi watufikirishe jambo la muhimu ni kuzi unfollow na dislike kazi zao mitandaoni. Vile vile tukiona wanakera tuache kuhudhuria matamasha yao....ili ...wajue pamoja na kwamba wana vipaji...
Kwa siku za hivi karibuni kivuko hiki kimekuwa ni changamoto kubwa. Kwa sasa wananchi wengi walio na haraka kuelekea kazini wanalazimika kutumia bodaboda kupitia Daraja la Nyerere ambayo hii ni gharama kubwa sana ukizingatia kipato cha mtanzania.
Hili ni suala ambalo limeendelea kuwafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.