Dah kweli kabisa nahisi maisha yamekuwa magumu sana kwa watoto wa kike na ni both wakishua na hawa wenzetu….kama juzi nimeamka asubuh nimekutana na wanawake 7 wote wanaomba pesa isiyozidi 10k[emoji23][emoji23] ukiona text imeanza na my tu kimbia fasta usijibu au utaskia my nikwambie...
Kama anatimiza majukumu yake ya msingi kwanini amroge?? Hapo asimroge unless kama akiwa hatoi matumizi na pia kwenye majukumu ya sita kwa sita atafute na yeye kamchepuko chake ili ngoma iwe droo
Hahah umekula kimasihara sana I just wondered watu wanaosema ni ndoto[emoji23][emoji23] nowadays kuwala mademu imekuwa sio ishu kabisa ni vile wewe unavyoji position tu[emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.