Recent content by parasha

  1. P

    Rais Mstaafu Kikwete amtambulisha Makamu wa Rais Mama Suluhu kwa Rais wa China

    Hii chuki inasababishwa na nini kwa Raisi wetu mstaafu? Muogopeni Mungu jamani
  2. P

    Picha: Vituo vya mabasi Dubai vyenye A.C, Kweli GAS,OIL Mtwara na Lindi watapata hivyo vituo?

    Hiyo stage ni kubwa sana hata miji mikubwa katika nchi zilizoendelea kama marekani katika majimbo ya Texas ambako kuna joto kali kuzikaribia nchi za middle east hakuna hiyo kitu, sembuse bongo.
  3. P

    CHADEMA yang'ara matokeo Udiwani: Ni zaidi ya ukanjanja wa siasa na uandishi

    CCM the way is clear, Maintain Course and speed.
  4. P

    Ni mwana CHADEMA gani atakayesimama kifua mbele kusherehekea matokeo haya?

    Ben Unachojaribu kutuambia juhudi zilizofanyika zimezaa matunda ya kuridhisha na kwamba kwa mwenendo huu ipo siku chadema itachukua Nchi?
  5. P

    Dr.Kitila Mkumbo: Tunahitaji mbadala wa CCM na CHADEMA

    Mkwawa Kama ni adhabu ilifaa aanze kupewa Slaa, kwa kubadili matumizi ya fedha za chama kujinufaisha binafsi Ilifaa aadhibiwe mbowe kwa kukosa uadilifu na matumizi mabaya ya madaraka Kama kweli chama kinauthubutu kwa viongozi wake basi mjadala uwepo juu ya Mbowe na Slaa Sio kwa zzk...
  6. P

    Usanii wa CHADEMA na hadithi za ufisadi (List of shame)

    Hela imetolewa na mtu sio chama
  7. P

    Usanii wa CHADEMA na hadithi za ufisadi (List of shame)

    Kwani hela zilitolewa na chama au mtu?
  8. P

    Usanii wa CHADEMA na hadithi za ufisadi (List of shame)

    Mkuu pesa za msaada kwa ajili ya kampeni yeye kazigeuza deni, na amelipwa Tuhuma ni nyingi mojawapo ni hiyo ya kubadili jina la msaada na kuita deni halafu akajilipa mwenyewe badala ya kurudisha kwa aliyetoa. Hiyo ni sanaa
  9. P

    Mnyika: Zuio la mahakama halizuii kumjadili Zitto isipokuwa uanachama wake tu

    Hata mimi sijamuelewa, tatizo la Mnyika anachukulia watu wote wanaofuatilia suala hili ni mambumbumbu, sote tunajua kesi ya msingi ni zzk kujadiliwa uanachama wake na cdm wameenda mahakamani kumzuia juu ya hilohilo la uanachama sasa Mnyika unapotubadilishia subject eti mtajadili mambo mengine...
  10. P

    CCM Tuwe Macho na Mbinu Mpya ya CHADEMA

    Tahadhari ni muhimu lakini sikubaliani na wewe kuamini kwamba mgogoro uliopo chadema ni wa kuchongwa ili kuwapumbaza ccm Mgogoro ulipo chadema ni matokeo ya kukosekana kwa democras ndani ya chama, na hiyo ni nafasi kwa ccm kuitumia kujirudishia heshima yake na kuilegeza chadema kadiri...
  11. P

    Ufafanuzi wa CHADEMA Kuhusu Maazimio ya Kamati Kuu - Novemba 2013

    chadema kwa maamuzi haya hamtoki salama.
  12. P

    Zitto na Kitila wavuliwa vyeo vyote ndani ya CHADEMA

    Hamad Rashid, Zito Kabwe, Kafulila, Dr. Kitila etc wanaweza kuanzisha chama. Nawashauri wakutane wapange
  13. P

    Mkutano wa hadhara: Nape Nnauye mgeni rasmi!

    kidumu chama cha masela
Back
Top Bottom