The African Forum and Network on Debt and Development (AFRODAD) has urged journalists across Africa to play a greater role in exposing the human impact of the continent’s growing debt crisis and holding leaders accountable over borrowing decisions.
Speaking during the opening of the sixth...
Akichanga mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha 2026/2027 bungeni jijini Dodoma May 20, Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, alisema amefika Bungeni akiwa na ujumbe mzito kutoka kwa wananchi wa mikoa ya Lindi na Mtwara pamoja na maeneo mengine ya Kusini...
Arusha. Ofisi ya Makamu wa Rais inatarajiwa kuzindua Programu ya Kitaifa ya Mageuzi ya Kimkakati ya Mazingira Endelevu Tanzania katika kilele cha Siku ya Mazingira Duniani (WED) ambapo kitaifa itafanyika jijini Dodoma, Juni 5, 2026.
Akizungumza katika uzinduzi wa usafi wa Mazingira kuelekea...
Siku mbili baada ya Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Taifa, Mary Chatanda kusema akipewa dakika moja awe Rais atawafuta wapinzani, Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imekiandikia chama hicho barua ya kujieleza.
Chatanda alitoa kauli hizo Mei 18, 2026 mkoani Iringa wakati wa...
Msaidizi wa Tundu Lissu, David Djumbe amedaiwa kutekwa usiku wa kuamkia leo Mei 21 na watu waliokuwa na silaha za moto.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro alipoulizwa kuhusu tukio hilo, amesema; “Mimi nimefika Moshi sasa hizi, kwa hiyo ngoja nifuatilie kwanza.”...
Hassan Ghazaly, founder of Pan African initiative on media and journalism "Afromedia", expresses his sincere congratulations to the Editorial team of Cairo 24’s website, chiefly journalist Mahmoud El-Mamlouk, editor in chief, on the occasion of honoring the website and receiving the “The best in...
Aliyekuwa Spika wa Bunge la Uganda, Anita Annet Among, anakabiliwa na shinikizo la kujiuzulu kutoka kwa baadhi ya wabunge kufuatia madai ya ufisadi na matumizi mabaya ya fedha za umma.
Baadhi ya Wabunge wameanza mchakato wa kukusanya saini za kumtimua yeye na wajumbe wengine wa Kamisheni ya...
Wakati CHADEMA ikianza operesheni ya “Katiba Mpya Free Lissu” katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, tayari hofu imeshatanda serikalini, ambapo Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imeiandikia baria ikitaka ijieleze kwa nini isifungiwe au kutozwa faini.
Miongoni mwa makossa wanayotakiwa kujieleza ni...
Ibrahim Mohamed Bashe
"Mshindi hahitaji kuwa na nguvu kuliko aliyeshindwa. Anahitaji tu kuwa na utayari wa kustahimili zaidi." Ibn khaldun karne ya 14.
"Binadamu wote ni viungo vya mwili mmoja, kwani wote, hapo awali, walitoka katika asili moja. Wakati wakati unapouumiza kiungo kimoja, viungo...
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya Siku ya Mazimgira Duniani yatakayofanyika jijini Dodoma Juni 5 mwaka huu.
Katika hafla hiyo, kutafanyia pia uzinduzi wa Programu ya mageuzi ya kimkakati ya Mazingira endelevu Tanzania (2026 - 2030).
Akizungumza leo na...
Mbunge wa Lahn-Dill nchini Ujerumani, Mheshimiwa Johannes Volkmann wa chama cha CDU ameihoji Serikali ya nchi hiyo kwamba, inachukua hatua gani kwa Tanzania kutokana na mauaji ya raia katika uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 na kuhusu kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, aliyosema inakiuka...
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ameiomba Mahakama Kuu, Masjala Kuu Dodoma iamuru apelekwe Dodoma kwa ajili ya kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa na mawakili wake wakipinga kuzuiwa kuonana naye na au kujadiliana naye faragha.
Lissu ametoa ombi...
Jaji mkuu mstaafu wa Kenya, David Maraga ameandika katika ukurasa wake wa X akieleza masikitiko yake kwa kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyoitoa Mei 4 wakati akimpokea Rais wa Kenya, William Ruto jijini Dar es Salaam.
Endelea....
"Kama Jaji Mkuu, nilithamini udugu uliopo ndani ya Jumuiya...
Mwanaharakati wa Kenya, Hussein Khalidi amesema kuwa wanaharakati wa Afrika Mashariki hawatishwi na kauli ya Rais wa Tanzania, Saia Suluhu Hassan ya kuwaonya Gen-Z wa Afrika Mashariki kuwa watachapwa viboko kila watakapokwenda.
Soma Pia:
Rais Samia: Tusikubali kuchochewa na wanasiasa...
Waziri wa Habari, Michezo, Sanaa na Utamaduni, Paul Makonda, ameibuka na ahadi kemkem za kuwaletea Watanzania watu maarufu duniani ili kuwafurahisha. Alianza kwa kuwaahidi wananchi wa jiji la Arusha kwamba angemleta nguli wa filamu na mwanasiasa wa Marekani, Arnold Schwarzenegger, katika sherehe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.