Kuna wengine humu matajiri, weka dili nyoosha maelezo saiv matajiri wenyewe hawataki dalali, kitu kama kinajiuza na ni asset kinauzika bila ushawishi. Acha kuzunguka sana weka maelezo ya kutosha ndipo tuje pm, sasa nianze kujieleza pm mi fulani nikuulize .ni deal gan kweli?
Changamoto yangu ni nimebadili majina yote matatu kuanzia vyeti vya chuo, form four la saba na cha kuzaliwa kinasoma majina ya zamani, ila vingine majina mapya, naomba kujua namna ya kuviweka pamoja na deed pol documents ninazo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.