Recent content by Papaa_Mobimba

  1. Papaa_Mobimba

    Ukihisi una matatizo na Serikali yako, usikimbilie nchi hizi....

    Asante sana kwa counter-argument nzuri. Sent via IFTTT
  2. Papaa_Mobimba

    Ukihisi una matatizo na Serikali yako, usikimbilie nchi hizi....

    Mkuu ulikuwa sahihi sana ila nna doubt kuhusu South Africa hawa jamaa sera yao ya mambo ya nje iko strict kidogo katika kuwaprotect ma asylum seeker nakumbuka kuna General wa Rwanda anaitwa Faustine Kayumba Nyamwasa bado hadi leo yupo uhamishoni SA.
  3. Papaa_Mobimba

    Ukihisi una matatizo na Serikali yako, usikimbilie nchi hizi....

    Lissu soon atasolve ishu yake maana dawa inapatikana soon,msala umebaki kwenu nasikia mnaforge sahihi za wabunge wa chadema ili mpate mamilioni ya mabeberu kwa bunge kuonekana kuna upinzani. Sent via IFTTT
  4. Papaa_Mobimba

    GE2020 EXCLUSIVE: Maswali kwa Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu kutoka kwa Watanzania watumiao mitandao ya kijamii

    Mheshimiwa Lissu utafanyaje Mawakala wako nchi nzima wasipoingia vituoni? Masanduku ya kura yakitolewa vituoni kiholela na nakala za matokeo kukosekana? Je, unafikiri Watanzania wana Utayari wa kuingia barabarani? Baada ya mvurugano wa kimatokeo pamoja na kikatiba ? Je utakuwa tayari kukaa...
  5. Papaa_Mobimba

    Baadhi ya kauli za wafuasi wa CHADEMA baada ya tarehe 28 Oktoba, 2020

    Kuna lile jisongi "BORA CORONA, KULIKO CCM" kama naliona likiipamba mitaa ya Wete mpaka Nyamagana na Tunduma mpaka Tarime.
  6. Papaa_Mobimba

    Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

    Kuanzia 2020 Tanzania itatawaliwa na Mbeba maono ukweli ni kuangalia hali halisi za masela ambao ni 60% ya wapiga kura huko mitaani.
  7. Papaa_Mobimba

    Bado natafuta mantiki ya kujenga hili Daraja la Kigongo - Busisi kwa Tshs. Bilioni 700

    CCM ni kama malaya ambaye tayari ameshavua nguo,kilichobaki tu ni sisi wananchi Tarehe 28 oktoba tuwachomeke Dudu wakaendelee na biashara zao za Mayanga construction.
  8. Papaa_Mobimba

    GE2020 Nashauri Tundu Lissu kuweka Mawakala wa kuhesabu kura zake

    CCM ni kama malaya ameshavua nguo kilichobaki ni sisi wananchi kuichomeka dudu tu ifikapo trh 28 oktoba.
  9. Papaa_Mobimba

    Nimeshawishiwa, nimeshawishika na kukubali kuwa Tundu Lissu ni mgombea sahihi wa Upinzani mwaka huu

    Ahsante sana ndugu mwaka huu tunawanyoa maCCM bila maji.
  10. Papaa_Mobimba

    GE2020 Sababu 11 kwanini Lissu atapata ushindi wa asilimia ndogo kuliko wote tangu 1995

    Mkuu kabla lissu hajarudi nyumbani kuna utopolo ulikuwa unazungumzwa kwamba mwaka huu CCM itachukua kata/majimbo yote ila baada ya kimbunga cha CiC TUNDU LISSU umesikia tena ule utopolo?? They have chickened out yameogopa balaa na mwaka huu upinzani ukijipanga vizuri utachukua majimbo mengi sana...
  11. Papaa_Mobimba

    Nimeshawishiwa, nimeshawishika na kukubali kuwa Tundu Lissu ni mgombea sahihi wa Upinzani mwaka huu

    Safi sana,welcome to our All democratic progressive forces movement for the Total economic Liberation of Tanzania,tuendelee kumpa support comrade TUNDU A. LISSU.
Back
Top Bottom