Mm kama mkristo mkatoliki bado nasema pengo anasaliti waumini wake kwa kuungana na wezi kulihujumu taifa hata kufikia kutetea katiba mbovu ya kikwete
Jembe
Usaliti ni dhambi kubwa na kwa maana hiyo zitto hafit kuwa mwana harakati wa chadema laba aende kwa eacrow wenzie. Hakuna dhambi kubwa kama ya usaliti.
Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.