Recent content by papa anayevutia

  1. papa anayevutia

    Mmomonyoko wa maadili: DC Temeke aagiza watoto na wazazi kufikishwa mahakamani

    Ni kuvaa suti beach..au zifungwe tu,maana hamna namna
  2. papa anayevutia

    Picha: Matumizi ya bilioni 10 kwa UDSM kama yanavyoonekana kwa sasa

    Vyoo vya kukaa si salama sana kwa afya mkuu
  3. papa anayevutia

    Kiusalama, Tundu Lissu kumwambia Rais kuwa "ameropoka" ni kosa kubwa sana

    Mbona sasa mnarudia yaleyale( kwenye red hapo)
  4. papa anayevutia

    Kiusalama, Tundu Lissu kumwambia Rais kuwa "ameropoka" ni kosa kubwa sana

    Kauli ya Rais ni sheria!!!!...duuh..Twafaaaaaa!!
  5. papa anayevutia

    Deutch Welle yaanza uchochezi

    weka hat weka hata cituo na mikato basi.Halafu sema walichosema kikaonekanani uchochezi kwako,ili nasi tujiridhishe ndo sasa tukuunge mkono au kukukatalia
  6. papa anayevutia

    Sheikh Khalifa ammwagia data zaidi Rais Magufuli za wasomi waislamu

    Kama ni hao tu basi Rais amejitahidi kubalance..Maana ukisema ulist na Wakristu..ratio itakuwa 1:200 hivi. So ili tumuelewe aweke na List ya Wakristo.Vinginevyo ni kelele tu!
  7. papa anayevutia

    Rais Kabila: Mizigo yote ya DRC itapitia Bandari ya Dar. Tulisitisha sababu ya urasimu na upotevu

    DRC makes a better and profitable partner state compared to Rwanda .Go Magufuli go
  8. papa anayevutia

    Zanzibar: Rais Magufuli amshangaa Dk. Shein kusaini makaratasi ya mtu aliyekataa mkono wake

    Wanaoshangilia na kushabikia style hii ya uongozi: visasi, hasira na uvivu wa kufikiri jitafakarini.Nchi inaenda kubaya.Kusaini ni takwa la kisheria wa si utashi. sasa unapochocheaa mgawanyiko wa watu na wewe ni kiongozi...!daaah! napata shida juu ya hatima ya nchi yetu
  9. papa anayevutia

    Kauli za viongozi wa Tanzania zenye utata!

    bado hawatamuelewa
  10. papa anayevutia

    Kama Kagame ni mfano wa kuigwa wa Rais Magufuli, Tanzania tuna bahati mbaya

    Jmc06 mimi nimeenda.na nimekaa na nimefanya kazi.lini na muda gani..au kama bado nipo au la hilo niliache.Kuna baadhi ya mambo nakubaliana na wewe kama mfumo wa ukusanyaji mapato; teknolojia (kwa maana ya matumizi yake),nidhamu ya kazi,etc.Lakini katika mfumo wa elimu HAPANA .a bado sana. Wana...
  11. papa anayevutia

    Ushauri kwa Vyuo vikuu: Walau nusu ya wahadhiri wawe na PhD

    Kigezo cha TCU ni 3.5. Aidha argument yako kuwa GPA za vyuo ulivyovitaja haziwezi kulinganishwa ni ya uvivu wa kufikiri.Unataka kutuambia kila mtu anaye aspire kuwa mtaaluma apewe GPA tofauti ya kuwa nayo kulingana na chuo alichotoka? Halafu nawe unalalamika kuwa unataka kuwa mtaaluma..!
  12. papa anayevutia

    Ushauri kwa Vyuo vikuu: Walau nusu ya wahadhiri wawe na PhD

    This argument inaonesha kuwa wewe ndio uwezo wako ni ziro.what is the basis of of this "not well thought of poor argument!!!".Hiyo SUA unayoizungumzia ndivyo mnavyo-argue hivi? Too low and cheap for a presumably better SUA graduate
  13. papa anayevutia

    Ushauri kwa Vyuo vikuu: Walau nusu ya wahadhiri wawe na PhD

    Ahsante Majeshi. Kwangu binafsi GPA has never been an issue, Na nakumbuka wakati nasoma niliwahi kuvutana na mkuu wangu wa Idara juu ya utaratibu wa GPA kuwa haufai.Hapa nilikuwa nafafanua sera/utaratibu uliopo kwa mujibu wa TCU. Kwangu hoja sio kuleta wa nje wala wa ndani.. kwa sababu kuwa na...
  14. papa anayevutia

    Luhwavi, Membe na Lukuvi, mnayopanga Gizani ili Magufuli asiwe Mwenyekiti wa CCM yawekwa Hadharani

    Hujaeleza hiyo mikakati inafanyikaje .Yaani specifically nini wanakifanya? umeishia kueleza kwa nini wanafanya..lkn hujaeleza wanafanyaje???
Back
Top Bottom