Recent content by panyaroad1

  1. P

    Dr. Magufuli: Genius anayepambania urais

    Mtu kuwa genius haimanishi anauwezo wakutatua matatizo ya nchi. Hata Isac Newtown the genius of physics alipo ingizwa kwenye bunge la wingereza aliongea sentensi moja tu na muongo mwingine uliyofuata hakuludishwa. Hiyo sentensi ilikuwa(fungua dirisha nasikia joto) Kuwa genius haimanishi unaweza...
  2. P

    Lowassa alirudisha kadi ya CCM?

    Ni mmoja kati ya watu waliochana kadi zao baada ya mkutano wa nec pale dodoma. Tulichomfanyoa sisi wana ccm ulitegemea akae nayo. Tena mimi ningeifanya toilet paper kamaningekuwa lowassa
  3. P

    Wagombea waliokamatwa/kutuhumiwa kwa rushwa hadi sasa

    Wabunge wa jimbo la kawe kalibia wote wamekuwa wakitoa rushwa jsmani ccm tuachane na hii tabia. Kula mpe lowassa
  4. P

    Lowassa, vitabu vitakatifu vinasema malipo ni duniani

    Mimi ni ccm damu damu lakini kula yangu nampa lowassa. Kwa sasa sisi wana ccm lazima tukili makosa yetu kuliko kuja na hoja zisizokuwa na maana. Kwani hatujengi chama tuna bomoa. Kiufupi kwataarifa kama hizi tunajiaibisha. Lazima tukubali kuwa lowassa ndokiongozi mkuu. Jana nilimuona hadi...
  5. P

    Lowassa, vitabu vitakatifu vinasema malipo ni duniani

    Mimi ni ccm damu damu lakini kula yangu nampa lowassa. Kwa sasa sisi wana ccm lazima tukili makosa yetu kuliko kuja na hoja zisizokuwa na maana. Kwani hatujengi chama tuna bomoa. Kiufupi kwataarifa kama hizi tunajiaibisha. Lazima tukubali kuwa lowassa ndokiongozi mkuu. Jana nilimuona hadi...
  6. P

    Utafiti: Lowassa ateka media zote Tanzania na nje ya nchi

    Mimi ni ccm damu damu lakini urahisi na mpa lowassa. He has a vision and mission for the country lakini magufuri anasubilia ilani ya chama. Ni aibu kwa chama. Kikwete alikuja nakauli mbiu ya kasi mpya, nguvu mpya na hari mpya. Magufuri sijajua yeye msingi wake wa maendeleo ata ukazia wapi...
Back
Top Bottom