Recent content by Panyanyi

  1. P

    Watu na Balozi mbalimbali za nchi za ulaya na Marekani zampongeza Maxence Melo wa JamiiForums

    Hongera sana Max, kwa ujasiri wako mkubwa. Umeishinda hofu na ushindi huo ukawapa watu mahali pa kutolea mawazo yao hata kama wao wenyewe hajaishinda hofu. Hongera sana
  2. P

    Namna Serikali ya awamu ya tano ilivyowakomboa wanawake

    Kwa mfumo huu, ukombozi ni kila mtu ambapane kujikomboa. Endepo wenye madaraka watatekeleza wajibu wao, basi itakurahisishia safari ya kujikomboa
  3. P

    Baadhi ya wanyama wahamishiwa hifadhi ya Burigi

    Watalii wote watatakiwa kuanzia shughuli za utalii Chato
  4. P

    Kanuni mpya za fedha: Dr Mpango

    Wameshikwa na roho wa umaskini na kutokufikiria namna ya kuwezesha watu kujiendeleza.
  5. P

    Rais Magufuli awaalika Ikulu Wafanyabiashara wakubwa watano kutoka kila Wilaya

    Toa ajenda ya mwaliko. Watu wajiandaa kushiriki vyema. Mambo ya kufanya kazi kwa “Hati ya dharura” kwa mambo ya msingi ni sawa na kutaka kujenga kitu imara juu ya kitu dhaifu
  6. P

    Waziri Kabudi: Nasema kamwe hatutapiga magoti, tumeona vihoja vyao

    Amekosa dira na mwelekeo. Inashangazi hata mifano anayotoa haimsaidii kufikisha ujumbe. Kwa “argue and don’t shout “ yeye kaishia kupiga kelele.
  7. P

    Lazaro Nyalandu akamatwa na kushikiliwa na TAKUKURU mkoani Singida

    Wasije kuwa watu wasiojulikana
  8. P

    Muomba Mungu hachoki : Tundu Lissu kumshukuru Mungu Jijini London June 2

    Mungu azidi kumlinda na kumbariki
  9. P

    Toyota hilux inauzwa

    Iko wapi?
Back
Top Bottom