Kuna mambo yanakera sana tena yanachukiza.
Serikali ilikuwa wazi kabisa katika katazo la safari za nje. Mwongozo uliandaliwa wa jinsi ya kufanikisha safari hizo ikiwa kutakuwa na ulazima. Kubwa zaidi ni kuwa na kibali cha Rais ama Katibu Mkuu kiongozi.
Hata hivyo, taarifa zilizochapishwa na...
Rostam kasoma alama za Nyakati. Kaona kuwa Apson Mwang'onda kazidiwa nguvu. Amekuja kumwaga fedha ndo maana kwenye ile Harambee ya Ujenzi wa chuo cha kiislam kule Arusha Rostam peke yake kachangia milioni 50. Apson ni bla blaa tu. kamnyonya Lowasa mpaka kafilisika
Mkuu, polisi wanafanya kazi vizuri sana. Tatizo lipo kwetu sisi. Tunadhani umaarufu wetu ni excuse ya jeshi la polisi kufanya kazi zake. Tulivyoshughulikiwa sisi Panya Road nyote mlifurahia. Ila ameshughulikiwa Lipumba tu tena si kwa kupigwa tayari hoja binafsi imetolewa bungeni. Hivi thamani ya...
Msituchanganye bana. Mnyika alisema kuwa ataleta maji Ubungo. Wala hakusema kuwa ataishirikisha serikali ya CCM kutekeleza hilo. Kama kazi imewashinda rudisheni majimbo kwa CCM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.