Recent content by Pantosha

  1. P

    Polepole: Membe alihusika kusuka mipango ya Rais [Magufuli] kuuawa

    Ila akamuita padri wake, akasuhiriwa hadi mchana kabisa
  2. P

    Polepole: Membe alihusika kusuka mipango ya Rais [Magufuli] kuuawa

    🤣🤣🤣🤣🤣 alishauri tu kuwa mgonjwa akiwa kwenye hali hii, anyweshwe maji ya bugu uhu tu.
  3. P

    Polepole: Membe alihusika kusuka mipango ya Rais [Magufuli] kuuawa

    Ila maneno yako yanatafakarisha pia.
  4. P

    Polepole: Membe alihusika kusuka mipango ya Rais [Magufuli] kuuawa

    Maswali ni mengi sana, na kwa kuwa hakuna uchunguzi wowote uliofanyika kuhusu kifo chake, Mungu pekee anajua nini kilichukua uhai wake. Wabaya wake walianza kushangilia kifo chake kuanzia tarehe 11. Huku wakisema kabisa akitoka adharani basi wao wafir*e. Safari za wakuu zikawa hazieleweki...
  5. P

    GE2025 Ushauri wa Bure kwa Balozi Polepole, Usitatizwe na Wahuni!, Rais wa TZ 2025 Hawekwi na Wahuni, CCM au Watanzania, Anawekwa na YEYE Pekee!. Jinyamazie!

    Paskali ungetulia ingekuwa busara zaidi. Kama unaweza ku prove kitu scientifically, basi kwa level hiyo Mungu ametuachia sisi tu deal nayo.
  6. P

    Tanganyika iliishi miezi 28 tu?

    Sijawahi kupata jibu kwa nini alifanya maamuzi ya namna hii.
  7. P

    Tanganyika iliishi miezi 28 tu?

    Umoja ni Nguvu. Kwa hiyo kuungana na kuwa kitu kimoja ni jambo jema. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar lilikuwa pigo kubwa kwa Tanzanyika.
  8. P

    GE2025 Baba Levo VS Zitto Kabwe naomba qualification/CV zao

    Naomba qualification/CV zao. Bila Shaka kwenye Elimu na Uzoefu wa siasa, ZITTO atakuwa anamzidi Baba LEVO. Sifa zingine: Baba LEVO ni CHAWA ZITTO ni mnafiki na opportunist.
  9. P

    GE2025 Clayton Chipando (Baba Levo) ateuliwa kugombea ubunge jimbo la Kigoma Mjini kupitia CCM

    Sina mengi ya kusema. Nikutakie kila la kheri kwenye kazi ya kutunga sheria na kuisimamia serikali ili Wananchi wa Kigoma mjini wapate maendeleo. Na ikimpendeza Rais basi akupe kabisa Wizara ya Michezo na Utamaduni. Kila la kheri Chiponda
  10. P

    GE2025 Polepole, Asante kwa ukweli wako kuhusu kiini macho cha Uchaguzi. Hoja ya tusishiriki, haina tija tena na Uchaguzi Upo!

    Bwana Pascal Mayalla, mimi kusema kweli nikiona umeandika utumbo nasikitika. Kwa nini ushauri watu wafanye kitu ili mradi tu wamefanya? Kuna athari nyingi sana kushiriki kiini macho ikiwa una uhakika ni kiini macho. Wewe haujali muda? Pesa? Na hata utu wako? Kuna wakati unatereza sana ndugu.
Back
Top Bottom