Mwanzo 3:16.....tamaa yako itakuwa KWA mumeo nae atakutawala" Uongizi alipewa mwanaume bwashee.Pia ongeza 1korintho 11:3 "kichwa cha kila mwanamume ni Kristo na kichwa mwanamke ni mwanamume na kichwa cha Kristo ni Mungu" pia 1korintho 11:6 ......mwanamke ni utukufu wa Mwanamume.Zaidi soma kutoka...
Lakini pia kundi la watu wa kawaida walikuwa wanafurah sana mtu akitumbuliwa na pengine bila sababu ya msingi,wakati huohuo kundi hilo lilikuwa haliwezi kupata nafasi hiyo.Yaani maskini anafurahi tajir akifirisika....
Mwalimu mwenyewe kaajiliwa hajui hata kujiajiri ni nini,then aje amfundishe mwanafunzi kujiajiri!
Skills,atitudes na experience aliyonayo mwalimu ni KWA masomo yake husika suala la kujiajiri ni degree inayojitegemea
Hiyo kesi lilikiwa ndo bomu la mwisho KWA Chadema na upinzani Tanzania hii,imagine JPM angekuwepo na hiyo kesi ipo Mahakamani!!!!!Kosa la Samia alitaka kutumia nguvu kuzuia wimbi la kudai katiba, bila tafakari ya kina kuhusu hatma ya kesi hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.