Kuna mahali imeandikwa hivi:
Na ufalme ukifitinika juu ya nafsi yake, ufalme huo hauwezi kusimama; na nyumba ikifitinika juu ya nafsi yake, nyumba hiyo haiwezi kusimama.(Mk 3:24-25)
Sijasema Hezbollah amenyang'nywa silaha. Hebu rudia kusoma vizuri. Nimesema:".....kwa sasa Hezbollah anapokonywa silaha" (present continuous tense) Kuhusu nilikotoa hizi habari; Soma 👇 👇
Paris on March 28.
Magali Cohen/Hans Lucas/AFP/Getty Images
CNN —
Lebanese President Joseph Aoun said...
Mkuu; Tunabishana kwa hoja zenye walau viashiria vichache kuonesha ukweli wa hoja:
1. Kwa mfano iko wazi kwa sasa kwamba Hezbollah anapokonywa silaha. Hezbollah; kwa mujibu wa cease fire, wapo ng'ambo (Kaskazini)ya mto Litani.
2. Hakuna Taarifa ya Lebanon (kama nchi)kurusha maroketi au makombora...
Ni sahihi kwamba Hezbollah kama kundi wanaweza wakaendelea kuwepo(ni ruksa)lakini watakuwa ni kundi au Chama kimojawapo kati ya vyama vya kisiasa vilivyopo nchini Lebanon na itakuwa ni marufuku kujihusisha na mambo ya kijeshi i.e. hawataruhusiwa kumiliki silaha au kuendesha mafunzo ya kijeshi...
Yep. Iran ni mjanja sana. Amepima maji na unga halafu pia akaona kinachowapata vijana wake HAMAS, Hezbollah na Houthis akajisemea moyoni; mwe! cha kufia ni nini? Ngoja nikaongee kwani kuongea huwaga damu haimwagiki na wala majumba hayaporomoshwi.
Siamini itakuwa hivyo. Tusubiri tuone itakavyotokea esp. baada ya IDF kumalizana na HAMAS huko Gaza.
Ila hili ni angalizo zuri na la muhimu kulitazama.
Sivyo mkuu. Hayo yanayofanyika hapo ni kati ya yale yaliyokuwamo kwenye ile cease fire iliyosainiwa na pande zote mbili i.e. Israeli & Lebanon. Hezbollah hawakushiriki kwani hilo ni kundi tu la kigaidi na sio nchi. Sasa waliotia saini wameshakuwa na "Ushirikiano". Hilo zoezi la kunyang'anya...
Sasa limeshakuwa Lao ni moja against Hezbollah halafu Wananchi wanauzoefu wa kichapo cha Myahudi - hawana hamu na zaidi wakizingatia ni huyo huyo Hezbollah aliyeliamsha kwa kununua vita ya HAMAS. Hapo hakuna namna ni kwa nini Hezbollah asinyooke? Hana msaada wowote tena wala pa kushika hakuna.
Hili 👆 👆 umenena sawia. Ni ukweli usiopingika na hata wataalam walioko huku Field wanalishuhudia hilo. Kwa mfano HAKUNA - narudia tena HAKUNA boma au nyumbani kwa mfugaji ng'ombe na mbuzi yeyote ambako mfugaji huyo hana Syringe 30 au 50 cc, Chupa za Oxytetracycline (wenyewe wafugaji wanaita...
Magaidi wa HAMAS saivi Myahudi anawapeleka puta kuelekea Golgota. Wamechoka hoi na hawana tena jinsi. Njaa kali, mahandakini hakukaliki, buffer zone imegeuzwa kuwa Kill zone upana wa nusu kilometa kuizunguka Gaza strip yote.......hahaha -Yes. hakuna rangi wataacha kuona.:StockExplosion:
Hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.