Jkt mnafundishwa nidhamu ya kijeshi, uzalendo, ukakamavu, elimu ya kujitolea na kutokukata tamaa baasi. Kama umepata bahati ya kuingia na professional yako nafasi za ajira kwenye vyombo vya ulininzi na usalama zikitoka utachukuliwa kwa uraisi tofauti na fresh from school ambaye hauna utaalamu...
Hii ni kweli kabisa. Maana nimethibitisha mwenyewe kwenye maisha yangu. Nilidhani dem flani aliyekufa na ngoma kanipa ngoma nikaanza kuuza mechi kwa madem kibao wengine makahaba kabisa. Ila sikua narudia kitendo nikigonga mara moja baasi. Na nahakikisha dem kalowana na ute. Matokeo yake wkt...
Yaani kwa jinsi nilivyoupitia huu uzi sina hamu na S.Africa. Vipi ulikuwepo kipindi cha World cup? Na vp rate ya crime kwa wageni kipindi hicho cha World cup ilikuaje? Na serikali kwa ujumla ilijipangaje kuwalinda wageni!
Mkuu Hongera sana kwa kuinuka tena. Mimi story yangu inafanana na ya kwako ila kikubwa kilichonitesa mimi ni pombe. Ilinitesa mnooo. Kiasi kwamba ndoa yangu ilitetereka. Kama sio mke wangu kusimama kwenye maombi hata kazi ningepoteza. Nilikuja kuamka nikasema kuanzia leo (POMBE NO) toka pale...
Wametaja aina ya ndege na usajili wake. Hata mm mwenyewe nimecheck hiyo ndege mara ya mwisho imeonekana ujerumani na imesafiri kwa one hour.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule wa Dar aliyejitosa ktkt ya matanki ya petroli yaliyokua yanalipuka na kwenda kufunga koki ya moja ya matanki yaliyolipuka yule ndo alikua mwanaume sio huyu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.