Recent content by Pakomius

  1. P

    Je, unaweza kusomea mafunzo ya afya ukiwa JKT?

    Jkt mnafundishwa nidhamu ya kijeshi, uzalendo, ukakamavu, elimu ya kujitolea na kutokukata tamaa baasi. Kama umepata bahati ya kuingia na professional yako nafasi za ajira kwenye vyombo vya ulininzi na usalama zikitoka utachukuliwa kwa uraisi tofauti na fresh from school ambaye hauna utaalamu...
  2. P

    Baada ya ujio wa corona ndio nimemuelewa Jacob Zuma aliposema kuhusu kuosha na maji na sabuni

    Hii ni kweli kabisa. Maana nimethibitisha mwenyewe kwenye maisha yangu. Nilidhani dem flani aliyekufa na ngoma kanipa ngoma nikaanza kuuza mechi kwa madem kibao wengine makahaba kabisa. Ila sikua narudia kitendo nikigonga mara moja baasi. Na nahakikisha dem kalowana na ute. Matokeo yake wkt...
  3. P

    Dar: Polisi yawatia Mbaroni Watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya dereva wa Uber

    Halooo utaona rangi zote za upinde wa mvua na za kuzimu. Hahahahahahah
  4. P

    Kutoka South Africa: Mtanzania afariki dunia kwa kupigwa risasi

    Yaani kwa jinsi nilivyoupitia huu uzi sina hamu na S.Africa. Vipi ulikuwepo kipindi cha World cup? Na vp rate ya crime kwa wageni kipindi hicho cha World cup ilikuaje? Na serikali kwa ujumla ilijipangaje kuwalinda wageni!
  5. P

    Miaka 10 ya Utumishi: Kumbukizi mbaya ya matumizi ya pesa isiyofutika katika historia ya maisha yangu

    Mkuu Hongera sana kwa kuinuka tena. Mimi story yangu inafanana na ya kwako ila kikubwa kilichonitesa mimi ni pombe. Ilinitesa mnooo. Kiasi kwamba ndoa yangu ilitetereka. Kama sio mke wangu kusimama kwenye maombi hata kazi ningepoteza. Nilikuja kuamka nikasema kuanzia leo (POMBE NO) toka pale...
  6. P

    Najihisi kuwa na dalili zote za COVID-19. Je, nifanyeje?

    Bro vipi kuhusu taste ya vyakula iko vizuri kwenye ulimi? Na je pua nayo inahisi harufu vizuri?
  7. P

    Nimeambiwa na mpangaji mwenzangu kuwa tunatakiwa kuchangia kila mmoja Tsh. 30,000/-

    Hiyo nyumba bora uhame tu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. P

    Muuza sigara nisiye vuta sigara

    Mkuu umetumia kilevi gani Leo? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. P

    ITV wameumbuka kuhusu ndege iliyoleta watalii Tanzania?

    Wametaja aina ya ndege na usajili wake. Hata mm mwenyewe nimecheck hiyo ndege mara ya mwisho imeonekana ujerumani na imesafiri kwa one hour. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. P

    Ushujaa wa askari huyu ni wa kipekee, wadau tumpongeze

    Yule wa Dar aliyejitosa ktkt ya matanki ya petroli yaliyokua yanalipuka na kwenda kufunga koki ya moja ya matanki yaliyolipuka yule ndo alikua mwanaume sio huyu Sent using Jamii Forums mobile app
  11. P

    Kutoka South Africa: Mtanzania afariki dunia kwa kupigwa risasi

    Unaweza ukakuta huko Texas anakosema ni tandale kwa mtogole. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. P

    Kupaa kwa usingizi nyakati za usiku

    Na kusali pia Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom