Multdealer
JF-Expert Member
- Oct 11, 2019
- 226
- 232
Mungu ambariki askari kwa kazi nzuri ya uokozi katika mazingira hatarishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana haki kupewa hicho cheo, maana humu kuna watu wanatapika maneno ya ovyo, eti ndiyo kazi aliyosomea na kufanyia mazoezi.Amepandishwa cheo mnaopinga nendeni makao makuu mkakate rufaa
Kwani chooni kulikua na motoNi jambo la kishujaa, katika utekelezaji wa majukumu yake ya kazi.
Kilichonisikitisha ni kutokuwepo kwa wataalamu wa afya, baada ya uokoaji huo kufanyika.
Sio kuonesha uzalendo, ametekeleza majukumu yake. Hapo yupo kaziniMkuu huyo askari alionyesha uzalendo vinginevo angepita kule kuendelea na misghe zake
Na ni wajibu wake pia. Just imagine Afrika tulivyo na akili ndogo, yaani mtu anatimiza wajibu wake then watu wanaona kuwa amefanya tukio kubwa na la kutisha!Kawaida sana tu mbona
Naomba definition moja tu ya mzalendoSio kuonesha uzalendo, ametekeleza majukumu yake. Apo yupo kazini
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni jukumu lake, isije ikawa tabia ya kutengeneza matukio ili upate cheo.
Ni jukumu lake, isije ikawa tabia ya kutengeneza matukio ili upate cheo.
Hakukuwa na motoKwani chooni kulikua na moto
Nukuu "Kweli nimeamini Nabii hakubaliwi nyumbani kwao" nasoma coment baadhi ya wachangiaji hawataki kumpa pongezi ka
manda,Kama kafanya vema kwanini usimpe pongezi kwa Jambo la kishujaa?.Ila angekuwa mtu mweupe kutoka ulaya amefanya hivyo mngemsifia sana na vigeregere,shangwe na makofi juu wa kwetu mnaona kawaida.Sambaza upendo tusione aibu kupongezana pale Mtanzania mwenzetu afanyapo Jambo la kishujaa na kizalendo Kama hili mi nampongeza kwa ushujaa aliouonesha.