Recent content by pakichawena

  1. P

    Je, Mungu ndiye aliyeumba dhambi?

    mungu na shetani ni (nafsi), hivyo bhasi hakuna yoyote atakaekuja kukuamulia maamuzi yako ya msingi yawe (mazuri/mabaya) ispokuwa wewe mwenyewe. na kumbuka, mwisho wa siku kila mtu atahukumiwa yeye kama yeye na si shetani kwa niaba ya mabaya yako.
  2. P

    Je, Mungu ndiye aliyeumba dhambi?

    ukisoma sala ya baba kuna mstari unasema " mapenzi yako yatimizwe duniani hata mbinguni" kama sijakosea. Hvyo basi kwa mapenzi yake yeye aliye mtukufu ndo yote hayo uliyouliza mzizi wake mungu.
  3. P

    Ubongo, Akili au Hisia?

    usipokuwa na hivyo vyote basi we si binadamu.
Back
Top Bottom