Kujitia kushindana na Kanisa Moja Takatifu Katoliki la Mitume ni sawa na kujaribu kuizuia dunia isijizungushe kwenye mhimili wake.
Wapo watu watemi kwelikweli karne nyingi zilizopita walipambana sana lakini wakaangukia pua.
Andiko la ki-mavï mavï, nimerudi juu mara kadhaa kuhakiki mwandishi kama sio Mwashambwa .. itoshe Tu kusema mkitaka uteuzi wafateni hao maprimitive huko huko. Sio mnaleta ushuzi wenu humu na kujaza server za watu. Uchawa mtupu🤬
We ndugu, kinachooneshwa na huu utawala ni kama uvimbe wa saratani (kansa) mwilini. Kadri siku zinavyoenda ndivyo unavyozidi kujineemesha kwa raslimali za Mwili (nutrients, n.k) hivyo uvimbe huu unakua kwa kasi wakati mwili unazidi kuwa dhaifu.
Dawa ni moja tu, UONDOLEWE. Iwe ni kwa kukata na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.