CCM wapumbavu sana, kwahiyo wanaamini kabisa maandamano yatafanywa kama wao wanavyofanyaga mikutano yao kwa kuwakusanya wasiojielewa na kuwalipa vijiposho? Safari hii lazima Mwigulu na genge lake wakimbie na vyupi mkononi! Makebo yaoo!!
Kujitia kushindana na Kanisa Moja Takatifu Katoliki la Mitume ni sawa na kujaribu kuizuia dunia isijizungushe kwenye mhimili wake.
Wapo watu watemi kwelikweli karne nyingi zilizopita walipambana sana lakini wakaangukia pua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.