Recent content by pakashumeeew

  1. pakashumeeew

    JamiiForums Tanzania Majina halisi ya Wakatoliki feki walioandamana yaanza kuvuja, limo la Kidawa wa Mwananyamala

    Waandamanaji wengine wa jana tunao humu humu JF
  2. pakashumeeew

    JamiiForums Tanzania Kuifuta CCM sio kuondoa matatizo ya taifa hili. Hiyo ni propaganda yenye uongo Mkubwa

    Naona unapambana kutembelea nyota ya nanauka 🤣
  3. pakashumeeew

    JamiiForums Tanzania Kama waumini kupeleka malalamiko yao Vatican ni ulofa, njaa na upumbavu, kwanini Kanisa Katoliki linahangaika kujisafisha?

    Kujitia kushindana na Kanisa Moja Takatifu Katoliki la Mitume ni sawa na kujaribu kuizuia dunia isijizungushe kwenye mhimili wake. Wapo watu watemi kwelikweli karne nyingi zilizopita walipambana sana lakini wakaangukia pua.
  4. pakashumeeew

    JamiiForums Tanzania Nimekaa Leo nimemsikiliza mzee Warioba kwa umakini, huyu mzee hafai kabisa!

    We mleta thread ni bwege kuliko! Hata Samuya akisoma uzi wako atakuona fwala!
  5. pakashumeeew

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mbinu ya kupata milioni 2 kabla mwaka haujaisha

    Gen z mko speed sana
  6. pakashumeeew

    JamiiForums Tanzania Mnaolalamika mwezi mzima maji hayatoki msizue taharuki mitandaoni, tuendelee kulinda amani, amani ni bora kuliko maji

    Chadema wasituchoshe si wachanganye 2H2 + O2 = 2H2O sisi ccm hatuna hiyo shida ya maji
  7. pakashumeeew

    JamiiForums Tanzania Wimbo wa MAKOMBORERO upigwe Marufuku nchini

    Hoja yako ungeitolea bungeni akina Baba levo na vilaza wenzake wangekushangilia sana
  8. pakashumeeew

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wito kwa Gen Z wetu: Disemba 9 tusiandamane, kuandamana bila malengo ni ukichaa. Serikali, tafadhali usiwapige Risasi vijana wetu, tuwasaidie!

    Andiko la ki-mavï mavï, nimerudi juu mara kadhaa kuhakiki mwandishi kama sio Mwashambwa .. itoshe Tu kusema mkitaka uteuzi wafateni hao maprimitive huko huko. Sio mnaleta ushuzi wenu humu na kujaza server za watu. Uchawa mtupu🤬
  9. pakashumeeew

    JamiiForums Tanzania Hakuna Haja Ya Kuandamana Na Kupoteza Uhai,Damu Iliyomwagika Awali Inatosha

    1. Hatulitegemei Jeshi, CDF wala takataka nyingine 2. Tumeaga majumbani, tunaenda kwenye Arobaini ya maveterani wa Oktoba 29. Tunazo micro camera, pen camera, drones za kutosha. Wajichanganye kushoot.
  10. pakashumeeew

    JamiiForums Tanzania Ina maana gani hasa Mtanzania kufurahia vikwazo vya kimataifa kwa nchi yetu?

    We ndugu, kinachooneshwa na huu utawala ni kama uvimbe wa saratani (kansa) mwilini. Kadri siku zinavyoenda ndivyo unavyozidi kujineemesha kwa raslimali za Mwili (nutrients, n.k) hivyo uvimbe huu unakua kwa kasi wakati mwili unazidi kuwa dhaifu. Dawa ni moja tu, UONDOLEWE. Iwe ni kwa kukata na...
  11. pakashumeeew

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jinsi Samia anavyoongelewa huko Oman

    Yeye akijiona hapo hatahangaika ku translate, atajua anapongezwa kwa ushindi wa kishindo (97.66%)
  12. pakashumeeew

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kuua anza na Kichwa, kwingineko kutapoa kwenyewe

    Niliyapenda sana maombi ya mtumishi Mwamposa hapo jana
  13. pakashumeeew

    JamiiForums Tanzania Kuna haja watu kujiunga na mitandao ya kijamii kwa taarifa zao sahihi za NIDA hasa JF

    NIN (NIDA) imeshindwa kudhibiti kwa 100% meseji za matapeli (tuma kwa namba hii)
Back
Top Bottom