Udhalimu huu hautosahaulika. Miaka 9 ya ukimya wa serikali ya CCM juu ya nani aliyemshambulia Lissu unathibitisha tu kwamba dola ilihusika kwa namna moja au nyingine kulinda wauaji.
1. Katiba ni kijitabu tu
2. Watanzania wanataka ugali mezani sio katiba mpya
3. Katiba tuliyonayo nzuri sana ndio maana tunabadilishana madaraka ya juu kwa amani kabisa bila kuwa na mizozo, na mabalozi mmeona.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.