Yeye pk kajuaje kuwa Mseveni anamshawishi Mama asiwape kambi FAR. Ila akumbuke naye alipopitia ndio na wenzake wanafanya hivyoivo. Kuanzia Tanzania ,Uganda then FAR hawa hapo Kigali by june 2024
Huyo jamaa GENTAMYCINE kwa majibu yake ya kitoto inaonekana kumbe ni jina tu ila anashida sehemu. Kama umemuelewa usibishane naye utakuwa mjinga wewe badala yake
Njoo huku kwenu upareni MWANGA NA SAME DC. Ndio utajua where there is a water the dumb is thirsty. Nyumba ya mungu dam ipo lakini mjini hakuna maji. Mzee Msuya cleopa ndio Don wa kila kitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.