Hatushangahi mti wenye matunda mazuri kupigwa mawe .Pinda ni kiongozi makini na bora ndiyo maana ameweza kufanya kazi na viongozi wa serikali za awamu zote kuanzia Mwl.Mwalimu Nyerere,Ali Hassan Mwinyi,Benjamin Mkapa na baadae J Kikwete kama Waziri Mkuu.Amefanikiwa kufanya kazi na viongozi wote...
Unaangaika bure mpaka povu linakutika umeshakula posho ya Edward Lowassabasi tabu tupu kila unayemuona mbele yako unasema uongo na kutukana mara leo umemtusi Pinda mara kesho Wasira mara siku nyingine umemtusi Membe mara siku nyingine umemtusi Mwigulu yani kila siku wewe kazi yako kuzusha uongo...
Huyo jamaa hafahi kuwa rais hana hekima wala busara maamuzi yake huwa ni ya kukurupuka sana ameitia sana hasara serikali imekuwa ikilipa fidia mara kwa mara kutokana na maamuzi yake ya hovyo tumeona kwenye ile meli ya samaki tumetakiwa kulipa fidia shilingi bilioni 2 baada ya kushindwa kesi pia...
Mimi sina kundi lolote Ninachokutahadharisha usiwe na tabia ya kuchafua viongozi wa serikali kwa matakwa yako ni kosa kubwa kuzusha jambo ambalo huna ushahidi nalo.Ukiendelea na tabia hiyo yatakukuta kimya kimya
Friends wa Edward Lowassa mna tabu kweli mada mnaleta wenyewe,mnachangia na kuipamba wenyewe kwa IDs tofauti tofauti ili kuuaminisha umma uongo wenu.Hapo mmenoa tumewashtukia MNAJITEKENYA WENYEWE na KUCHEKA WENYEWE kamwambieni Bosi wenu Edward Lowassa kwa mbinu chafu hizo za kuwamtumia hasa...
Wewe si wale wale kundi moja na Tabia moja uliona wapi kesi ya Chui ya kula nyama ikasikilizwa na kuhukumiwa na Simba.Tunawashangaa sana Friends wa Edward Lowassa MNAJITEKENYA WENYEWE na KUCHEKA WENYEWE.
Wakuu kokote mliko twendeni na Slogani hii "Kataa Edward Lowassa kwa Maendeleo ya Taifa". Huyu ni kiongozi ambaye mafisadi wanampigania kwa nguvu zao zote na wanataka awe raisikwa manufaa na faida yao wenyewe lengo kubwa likiwa ni kupewa tenda na mikataba mikubwa ya kiuwekezaji mfano.madini,gesi...
Kwani Edward Lowassa anataka urais wa wapi?wakati yeye ni mgonjwa kiafya,fisadi na muumini mkubwa wa Rushwa .Taifa lilipofikia linahitaji kiongozi Experienced,Mwaminifu na Mwadilifu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.