Nchi nyingi za Afrika zina milolongo mirefu ktk kutekeleza masuala ya maendeleo mpaka watakwambia sijui upembuzi yakinifu unafanyika kabla ya kujenga barabara tena upembuzi huo huchukua mwaka au zaidi wakishamaliza hapo utasikia Serikali inatafuta pesa yaani we acha
Well said ni kweli huyu jamaa anajiona yeye ni Bora kuliko wachambuzi wengine anapenda Sana kukosoa wachezaji wetu ktk ligi ya kibongo anapenda Sana kuwasifia akina Shalulile na wachezaji wengine nje ya ligi yetu hata kama wachezaji hao wana viwango vya kawaida
Sasa hao Al Kadar ndio Yanga dunduka wewe ? Kabla si mlisema Yanga hawana uwezo wa kumfunga Marumo eti kwa kuwa walipata droo na Pyramids kule Misri . Mtakufa kwa Sonona simbilisi nyinyi mkubali tu Yanga is the next level
Kwa ujumla mikoa ya ukanda wa Pwani ukiondoa Dar es Salaam kutokana na mchanganyiko wa makabila mbalimbali ni mikoa ambao si rahisi kusikia matukio ya mauaji kama ilivyo mikoa ya kanda ya Ziwa na mikoa ya nyanda za juu kusini
Logic ni nini hasa ? Utamlinganisha Nabi na huyo kocha wenu au mmevurugwa na matokeo ya Jana ? Mpaka sasa Nabi ana kombe 1 NBC Premier League na yupo mbioni kutetea taji,Nabi ana ngao ya jamii mara 2,Nabi ana Azam confederation cup 1 na Sasa anaiongoza Yanga kwenye michuano ya kimataifa sasa...
Mashabiki wengi wa Simba waamini mechi hii itakuwa rahisi hii inatokana na Msemaji wao kocha na wachezaji wao kutoa kauli za kishujaa ni vizuri sana hutakiwi kuingia kinyonge hasa kwa timu kubwa tena bingwa mtetezi ili upate ni lazima uwe na confidence. Angalizo langu tu kwa mashabiki wa Simba...
Nyinyi mbona kabla ya kucheza na Raja pale kwa Mkapa dereva wa basi lenu alirudi kinyumenyume na bado mkapasuka au ilikuwa mbinu ya kupunguza magoli ? Na vipi kule South Africa mwaka Jana dhidi mlivyowasha Moto uwanjani na bado mkapasuka au mhanga wenu aliwaambia mpunguze magoli kwa kuwasha moto...
Kilio cha barabara mbovu si cha Jimbo la Ukonga pekee hata huku kwetu Jimbo la Kibamba yaani ni kero juu ya kero na inavyoonekana ujenzi wa miundombinu ya barabara sio kipaumbele cha Serikali ya awali ya SITA ukiangalia hata kwenye Miradi ya barabara inaenda kwa Kasi ndogo mno makandarasi...
Mbona nyinyi kwenye mechi zenu za ligi kama vile Mtibwa wachezaji wawili walijipigisha red card mkashinda 5 mechi na Prison mchezaji 1 alijipigisha red card mkashinda 7 na kuna nyingine ambazo nimesahau . Dunduka ni dunduka hopeless
Moja ya drawback ya Monopoly system ni hiyo Taasisi zilizopewa dhamana ya kutoa huduma kwa jamii hufanya hivyo tu wanapojisikia yaani mradi liende no innovation at all
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.