Recent content by paka

  1. P

    Sababu za kuwa na nyumba ndogo

    hivi unafunga ndoa kwanini mke wako ni wako pekee yako na nyumba ndogo ukitoka anaingia juma,paul,james na hamisi sasa sio uroda bali utakuja kuleta ungojwa nyumbani.mara ukimwi na watoto wenu ni yatima,kama nyumba ndogo ni nzuri mpe mke wako talaka na wewe uwe fiti kwa cd wa nyumba ndogo.
  2. P

    Is Kenya Preparing For War With Somali?

    nimesoma habari nyingi sana kuhusu wasomali lakini wasomali wanamatatizo yao mwenyewe,hawa matatizo na waswahili,au bantu kumbuka waswahili wengi kutoka kenya,tanzania na uganda hujifanya ni makimbizi kutoka somalia ulaya,pia wasomali wanajua jambo hilo hila hawasemi kwa wazungu,ila waswahili...
Back
Top Bottom