Recent content by pafulambwa

  1. pafulambwa

    Domant phone numbers wanazogawiwa wateja wapya

    Mimi nilipewa namba alokua anatumia bwana Asenga, asee bibi babu, wajomba yani kalibia ndugu wote wanamlilia shida nadhanu ndo sababu akaitelekeza, kubwa kuluko yote ni ile miamala ya n m b, alafu ilikua kipindu cha watumisgu hewa,
  2. pafulambwa

    Kwenu nyie madereva wa bodaboda

    Rafiki yangu boda ana wiki ya pili hana fahamu muhimbili, kapata ajari huku kodia ya pikipiki kaifungunga nyuma ya pikipiki,chanzo ni mwendo kasi
  3. pafulambwa

    Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

    Mama mkwe anaugua kansa,anamwezi tangu aje hapa kaenda kwa mwamposa na kakutana nae kushikwa kichwa zaidi ya mara tatu ila mambo ni zero, juzi kaambiwa kina kongamano komboa familia kaja na gia akauze kiwanja apate pesa ya huko, nawangalia na wife alafu na baki hiiiiiii
  4. pafulambwa

    Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

    Siku akipona nimjuaye nitaamini hawa jamaa vinginevo hapo naona mazuzu yamepanda mtumbwi wa vibwengo tu
  5. pafulambwa

    Hizi alarm za mita za LUKU kukaribia kuisha huenda zinaongezea msongo wa mawazo

    Yani zikibaki unit 4 kushuka chini kanapiga kelele
  6. pafulambwa

    Nadhani mabeberu wa nchi za Magharibi wanaelekea kulielewa somo sasa: Chezea kingine ila siyo sharubu za Putin

    Tulionyweshwa seti 18 hapa kuwa zimefika ucrein au ndo hizo propaganda??
  7. pafulambwa

    Ukiondoa Dagaa na Maharage wanyonge watakula mboga gani?

    Daga bei ya chini kabisa kilo ni sh 12000, na bei inaenda hadi 30000 kwa kilo
  8. pafulambwa

    Waislam Pemba waandamana kuzuia ujenzi wa Kanisa

    Leo huku maandazi load masasni wamefunga balabala wanapiga makelele leo usiku kucha
  9. pafulambwa

    17 wauawa Zaporizhzhia, Urusi ikiendelea kuishambulia Ukraine

    Hata kama walio shambuliwa ni wanajeshi wa ukrein,taarifa itasema ni raia
  10. pafulambwa

    Kauli hii inaashiria madhara makubwa itakayokumbana nayo Urusi na dunia kwa ujumla endapo....

    Umeandika kishabiki, hata hivo hakuna lolote watalo mfanya zaidi ya vikwazo ambavo hata wasio kuwamo wanaumia, kifupi wanamwogopa, hivi rusia ingekua moja ya nchi za afrika bado tungeendelea kujibishana hapa ,
  11. pafulambwa

    Rais wa Ukraine aidharau Urusi kupita kiasi

    Ahahahaaaaaaa mkuuu nimekuelewa
Back
Top Bottom