Ko
Kosa la jamaa ni kukamatwa, kwahiyo unataka aende Kwa mjanja asiekamatika ili adanganywe vizuri!? Haya ninachoamini mm ni kumwambia ukweli aache au apunguze na mvumiliane tu
Poleni na wala siungi mkono Kwa kupotea huyu, kuna watu wanadhani haiwahusu kama pia walivyodhani waandishi wa habari wengine kuwa haiwahusu kupotea Kwa benn saa8 lkn sasa imekuwa mwandishi wa habari, nataka niwaambie wale wanaoamini haiwahusu waache waendelee tu hadi siku itakapowahusu, Kwa...
Najua ukoo wako wote hamjasoma na hakuna hata rafiki au Ndg alieajiriwa ndio maana unajibu hivyo, ila ungelijua nafuu ya Jirani yako inaweza kuwa nafuu yako direct or indirect
Kama kweli umetumia Akili na taratibu kama mkataba unavyosema, hii ni ya mwaka Jana, na mwaka huu ilitakiwa ianze July ziko wapi hela zangu (Kiuhalisia mm nimedhulumiwa hela zangu na serioali)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.