Recent content by Paf

  1. P

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mzee ASAS (CEO wa ASAS Group of Companies) Alhaj Faraj Ahmed Abri, afariki dunia

    CCCM tungejaa,bora wametuzuia
  2. P

    JamiiForums Tanzania Chanjo ni hiari: Spika Ndugai ni nani kuipinga kauli ya Rais?

    SIPIKA HASHITAKIWI MKUU ANA KINGA YA KUTOKUSHITAKIWA.
  3. P

    JamiiForums Tanzania Mabadiliko: Taasisi za Kidini sasa Kusajiliwa kila baada ya Miaka 5 kwa Malipo ya Tsh 100,000

    Vibali vya huduma za kiriho hutoa Mungu.Hii kauli ni chembechembe za siasa kuwafunga kutokuwa na WARAKA WA MAASKOFU. Madhara yakunyamazisha kila kundi la kijamii litakuwa na chuki na madhara makubwa sana
  4. P

    JamiiForums Tanzania Tusitake kumpelekesha Rais Samia, hapangiwi namna gani aendeshe nchi

    U Uzi una ujumbe mzito sana,hamjamuelewa tu.ameogopa kuitwa sio raia.
  5. P

    JamiiForums Tanzania Spika Ndugai na Bunge lake waliwakebehi CHADEMA walipojitenga kuchukua tahadhari ya kuzuia COVID-19, leo analazimisha wabunge wachanjwe?

    Awalinde kwa gharama zote wabunge wasiotaka kuchanja kama ambavyo aliahidi kulinda wabunge wa covid 19. Polepole na Askofu Gwajiboy bunge likianza wakakae jirani na kiti cha Jobo.Tuone nani atatangulia kufaaaa
  6. P

    JamiiForums Tanzania Mahasimu wa CHADEMA, Mbowe na Chanjo tukutane hapa

    Mbona mnamharibia Balozi Sefue
  7. P

    JamiiForums Tanzania Mnyika atakiwa kujieleza kwa Msajili wa Vyama vya Siasa kisa kusema Rais Samia alisema uongo

    Nimeip Nimeipenda hii.
  8. P

    JamiiForums Tanzania Sijasikia nguli yoyote wa Sheria akijinasibu kumnasua Mbowe. CHADEMA sio kama NCCR ya akina Marando

    Wamchomoe aende wapi wakati ameshachomekwa? Mbowe kila mda kwani hakuna watuhumiwa wengine
  9. P

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu wa CCM atoa maelekezo matatu mahususi kwa Viongozi na Watendaji wa Serikali nchini

    Mkipamba sana kwa picha nyingi inapunguza kusoma ujumbe. Picha moja inatosha na ujumbe husika.
  10. P

    JamiiForums Tanzania Mnyika atakiwa kujieleza kwa Msajili wa Vyama vya Siasa kisa kusema Rais Samia alisema uongo

    Mnyika mpelekee flash inayoonyesha majibu yake yote kuhusu tozo,demokrasia,vipengele vya Katiba kuhusu vyama.
  11. P

    JamiiForums Tanzania Mnyika atakiwa kujieleza kwa Msajili wa Vyama vya Siasa kisa kusema Rais Samia alisema uongo

    Watamtetea CCM si walimuona bora kupitisha awe kiongozi.
  12. P

    JamiiForums Tanzania Ni wakati sasa kuwa na Mahakama ya Katiba na Usajili wa Vyama vya Siasa

    Ili kukuza demokrasia Nchini na uwepo uongozi/utawala bora wenye misingi ya usawa kwa kila mtawala na mtawaliwa ni wakati sasa kuwa na Mahakama ya Katiba na Usajili wa Vyama vya Siasa. Nchi inavyoenda kwa mfumo huu bila chombo madhubuti ni sawa na kuendesha kikada na fikra za mtu binafsi bila...
  13. P

    JamiiForums Tanzania Kila mtu atavuna anachopanda

    Basi hata huduma za usafiri zisimame kutoa huduma katika jamii
  14. P

    JamiiForums Tanzania Mnyika atakiwa kujieleza kwa Msajili wa Vyama vya Siasa kisa kusema Rais Samia alisema uongo

    Wananchi lini tulikubaliana na Tozo?
Back
Top Bottom