Recent content by Packson

  1. P

    Napenda kujua jamani

    acha izo mambo kijana,nani avae shanga wewe
  2. P

    Ni makubwa jamani

    Nashindwa kupata picha taifa litakuwa na watu gani siku zijazo kama vijana wetu ndo wanakuwa iv.Miaka minne mtu unasoma afu mwisho wa siku unajibu ujinga.Yanatakiwa maombi ya hali ya juu jamani
  3. P

    Napenda kujua jamani

    Hivi shanga zina mchango gani katika shughuli nzima ya mapenzi na huwa zinamtia nani zaidi mzuka kati ya mwanamke na mwanaume
  4. P

    Nini sababu ya hii kitu

    Jamani napata maumivu ya mifupa ya kwenye ugoko miguu yote,nashindwa kuelewa ni kitu gani kinasababisha hii kitu maana cjakimbia wala kufanya zoezi lolote cku za karibuni
  5. P

    Kwanini niko hivi jamani?

    Jamani asanteni kwa msaada wenu wa kimawazo,tuendelee kusaidiana ikipatikana dawa pia nielekezen namna ya kuipata
  6. P

    Kwanini niko hivi jamani?

    Jamani nina tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na ni la muda mrefu kidogo kama miaka 4,nimetumia dawa kadhaa lakin bila mafanikio Uume wangu misuli yake imelegea,ukisimama unakuwa hauna nguvu na unawahi kusinyaa,nawahi kumaliza bao la kwanza na kuendelea siwezi mpaka nishikweshikwe uume na...
  7. P

    Jamani nisaidien mwenzen

    Mi ni kijana wa miaka 22,lakini nasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume kwa muda mrefu sasa(kama miaka 4).Uume wangu hausimami ukakaza maana misuli yake imelegea,nakomea bao moja tu tena nawahi sana kumaliza,raundi ya pili ni ya kulenga kwa manati mpaka ushikweshikwe uume na ukisimama hauna...
  8. P

    Upungufu wa nguvu za kiume(hanisi)

    mwangu nipe mawasiliano nichukue hiyo revive
Back
Top Bottom