Recent content by pachachiza

  1. pachachiza

    Uislamu na kuchinja mifugo inayoliwa na watu

    Kama nyama inaliwa na waislam unawaachia wao wachinje maana hawawezi kula nyama iliochinjwa na kafiri ila kama ni wewe na familia yako chinja unavyotaka mkuu.
  2. pachachiza

    REKODI YA KIBADEN KUFIKIWA UWANJA WA AMAN...TUKAE MKAO WA KULA

    Hii rekodi ingevunjwa na Max kwenye bao 5-1 lakini sielewi kwanini hawakumpa kupiga penati
  3. pachachiza

    Waislam watanzania licha ya Quran kuwaambia waitafute elimu mpaka mchina lakini mpaka Leo Wana chuo kikuu kimoja tena chakupewa

    Lakini hiyo awamu ndio ilitoa eneo lote la keko ili kuanzisha chuo kikuu ila baadae eneo likaanza kuuzwa na viongozi wa Bakwata ndio mpaka leo Sheikh Ponda anapigania eneo lirudishwe.
  4. pachachiza

    VIDEO ikionesha mashabiki wawili weusi wakifanyiwa masimango na mashabiki wa Morocco waliowazunguka

    Nilikuwa na Jamaa yangu Misri kwenye Pyramids kunakuwa na mabasi mnapanda kuyafuata halafu yanawarudisha sasa wakati wa kurudi jamaa yangu kakaa siti mbele na mimi nyuma. Gari ilivyojaa tukawa mimi na jamaa tu ndio siti zetu hazijakaliwa siti za pembeni yetu ila waarabu wamesimama. Mpaka akaja...
  5. pachachiza

    Loser is always a loser. Best loser never exist

    Mbona Mali bado wapo
  6. pachachiza

    Nimepata hasara kubwa sana kutokana na mechi ya Simba dhidi ya Fountain Gate

    Mkuu ukiwa unapata pia shirikisha ulichopata na watu humu sio ukiliwa ndio uombe msaada
  7. pachachiza

    Leo tunamaliza malumbano kuhusu upangaji wa matokeo katika ligi ya NBC

    Vipi mlivyocheza na Tabora ya Rage game zote 2 bila ya wachezaji wa kigeni ukujisikia hali hii unayojisikia leo?
  8. pachachiza

    Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

    S Shooters patamu haswaa ijumaa nitarudi tena hapo
  9. pachachiza

    Wanaosema Amli Miroud hana sifa za kukaa kwenye benchi la Yanga, nadhani waache propaganda nyepesi

    https://www.jamiiforums.com/threads/kocha-mpya-wa-yanga-hana-sifa-za-kuwa-kocha-mkuu-wa-ligi-kuu-ya-tanzania.2305028/
  10. pachachiza

    Baadhi ya Waumini wa Kanisa Katoliki waonekana wakinywa Konyagi nje ya Kanisa la Mt. Joseph

    Kanisa lipi liliwahi kumfikisha mtu uko halafu akarudi kutoa ushuhuda?
  11. pachachiza

    DStv wametoa ofa ya chaneli zote bure kuanzia 27 mpaka 29 Desemba hata kama hujalipia

    Nenda kwenye duka lolote linalouza decoda na vifaa vingine bei 15k.
  12. pachachiza

    Diarra: Mechi yangu bora ni hii ya juzi

    Kwanini wamshukuru wakati wanamlipa mshahara kwa kazi hiyo!
  13. pachachiza

    Poleni sana wapenzi wa klabu ya Simba

    Hapo mpira uko wapi? Au taulo hizo za kipa!
  14. pachachiza

    FT: Ken Gold 0-1 Yanga | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 25.09.2024

    Ni kweli wana washambuliaji na viungo hatari kwani miaka miwili iliopita wafungaji bora wametokea timu ipi?
  15. pachachiza

    Mbadala wa Eng. Hersi Yanga ni Salim Kikeke Simba, sio Mangungu Wala mo.

    Mangungu kabla ya kuwa Simba aliongoza timu ipi?
Back
Top Bottom