Kama nyama inaliwa na waislam unawaachia wao wachinje maana hawawezi kula nyama iliochinjwa na kafiri ila kama ni wewe na familia yako chinja unavyotaka mkuu.
Lakini hiyo awamu ndio ilitoa eneo lote la keko ili kuanzisha chuo kikuu ila baadae eneo likaanza kuuzwa na viongozi wa Bakwata ndio mpaka leo Sheikh Ponda anapigania eneo lirudishwe.
Nilikuwa na Jamaa yangu Misri kwenye Pyramids kunakuwa na mabasi mnapanda kuyafuata halafu yanawarudisha sasa wakati wa kurudi jamaa yangu kakaa siti mbele na mimi nyuma. Gari ilivyojaa tukawa mimi na jamaa tu ndio siti zetu hazijakaliwa siti za pembeni yetu ila waarabu wamesimama. Mpaka akaja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.