Kiongoziii sijui nikwambie nn ili unielewe lkn tulikuwa tumelewa, tena nilimpa K vant...mimi kwangu nina vipimo box zima, sheria ya kwenda kavu kwangu mpka upime, halafu sasa nikwambie kitu katika hvo vipimo nlivokuwa navyo me sijawah kujipima ata kidogo, mademu wote wakija nawapimaga wao tu na...