Kuna aina nyingi za ufugaji.
Ufugaji wa ndani ili kuwakinga na magonjwa, ufugaji uria ila ndani ya fence pia ni kuwakinga na magonjwa na kuna ufugaji huria 100% hivyo inategemea na wewe unataka kufuga kwa style ipi
Kwa mahitaji ya vifaranga wa kuku wa kienyeji:-
Bei
Umri wa siku 1 ni Tsh 2,000
Umri wa wiki mbili Tsh 3,000
Umri wa mwezi mmoja Tsh 3,500
Tunapatikana Kanyama - Kisesa mkoani Mwanza.
Mawasiliano:- 0752093038
Bei ni moja kwa vifaranga wa kuku aina zote isipokuwa ni umri tu
Kifaranga cha siku 1 ni tsh 2,000, kifaranga cha wiki 2 ni tsh 3,000 na kifaranga cha mwezi 1 ni tsh 3,500.
************KARIBU SANA**********************
Tunao
Kuku wa malawi - weusi wanafaa kwa mayai na nyama pia, hustahimili magonjwa, huwa na uzito mkubwa
Chotara - Wanafaa kwa mayai na nyama, huwa na uzito mkubwa
Kloiler - Wanakuwa kwa haraka na wanafaa kwa mayai na nyama. huwa na uzito mkubwa
Kwa uzoefu wangu:
Chukua kinyesi cha Ngombe kisha weka kwenye gunia mwagia maji kila siku asubuhi na jioni baada ya siku saba geuza gunia utakuta funza wa kutosha kwa ajili ya kuku wako. ukiwa na gunia 10 utakuwa umepunguza gharama za chakula kwa kiasi kikubwa sana.
kwa mahitaji ya vifaranga...
Safi sana kwa mada nzuri,
Mimi ni mfugaji na ninatotoresha vifaranga wa Malawi (Black), Chotara, na Kloiler nimekuwa nikipitia changamoto nyingi katika masoko wengi hawajafahamu hizo mbegu wanakimbilia kwa kuku wa kienyeji pure ambao ni wazi hawana faida kubwa.
Kwa somo hili litanisaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.