Wanaharakati tumemshuhudia akijutia kauli yake mbele ya wasomi wenzake,kasema ccm wamempaka matope wamemfanya chambo,kaomba viongozi wa ccm wamsafishe,wasomi wameanza kuwa nae chonjo wakihofia wenda anatoa siri za wenzao,wamemtuhumu ni usalama wataifa,sifa yake aliyojenga kwa miaka mingi...