Ile stika lazima ionyeshe alama ya Vema au tiki kwenye mwezi iliofanyiwa service na mwaka pia, na sio kila mzani unaouzwa madukani umehakikiwa na WMA- weight and measure agency. Ukisha ununua waweza pia kuwapelekea kwenye ofisi zilizo karibu nawe kwa garama ya elfu Kumi tuu. Kumbuka mzani kila...
Huyo kumla inawezekana, ingia nae gest huku kwenye mfuko umeweka [NGUCHILO] kwenye kibegi chako, anza kumgegeda nyoka akitokea unamfungulia parcel yako kisha wewe kura kutu roho inapenda. Dawa ya nyoka ni Nguchilo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa msaada zaidi soma vigezo na masharti , kumbuka hakuna gari la bure bali UTASAMEHEWA TUUU Import Duty. Kodi zingine utazilipa. Someni hapa na
Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhakika kuwa Mh.Kigwangara ni Phd holder??? Nijuavyo mm yeye ni Medical Doctor lakini kwenye level ya Doctorate hajafika.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.