Recent content by OVERLOAD

  1. O

    Hivi TCRA, mmeshindwa kusimamia kurudi kwa local channels kwenye ving'amuzi?

    Ukiwa na star times ya receiver ya dishi kifurushi kikiisha hupati tena zaidi ya TBC1
  2. O

    DPP awafutia kesi ya uhujumu uchumi askari Polisi nane waliokuwa wakisindikiza dhahabu Mwanza - Geita

    Mwanasiasa akikwambia "USIKU MWEMA" Toka nje ukaone maana lazima iwe mchana.hahahajaja
  3. O

    Ni wapi kwa Dar es Salaam mizani inapatikana?

    Ile stika lazima ionyeshe alama ya Vema au tiki kwenye mwezi iliofanyiwa service na mwaka pia, na sio kila mzani unaouzwa madukani umehakikiwa na WMA- weight and measure agency. Ukisha ununua waweza pia kuwapelekea kwenye ofisi zilizo karibu nawe kwa garama ya elfu Kumi tuu. Kumbuka mzani kila...
  4. O

    Benjamin William Mkapa atoa ya moyoni kuhusu uongozi wa Rais Magufuli!

    Makubwa hayo Sent using Jamii Forums mobile app
  5. O

    Hawa waliwahi kutamba sana awamu ya 4 na kutetemesha Jiji

    Duuuuuu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. O

    MOSHI: Wanaume muepukeni huyu binti,analindwa na nyoka aina ya Cobra

    Huyo kumla inawezekana, ingia nae gest huku kwenye mfuko umeweka [NGUCHILO] kwenye kibegi chako, anza kumgegeda nyoka akitokea unamfungulia parcel yako kisha wewe kura kutu roho inapenda. Dawa ya nyoka ni Nguchilo Sent using Jamii Forums mobile app
  7. O

    Ni kweli walimu wamesamehewa kodi ya kuimport magari?

    Kwa msaada zaidi soma vigezo na masharti , kumbuka hakuna gari la bure bali UTASAMEHEWA TUUU Import Duty. Kodi zingine utazilipa. Someni hapa na Sent using Jamii Forums mobile app
  8. O

    Ni kweli walimu wamesamehewa kodi ya kuimport magari?

    Nenda TRA watakupa taarifa sahihi vitu kama hivi utavikuta Sent using Jamii Forums mobile app
  9. O

    Mkuu wa mkoa wa Simiyu amshangaa Kigwangala juu ya kauli yake kuhusu tatizo la ajira

    Huyo RC. Mtaka nae ni kimeo yaani eti ana erufi 3 za PhD? Vilaza bado CCM ni wengi Sent using Jamii Forums mobile app
  10. O

    Mkuu wa mkoa wa Simiyu amshangaa Kigwangala juu ya kauli yake kuhusu tatizo la ajira

    Una uhakika kuwa Mh.Kigwangara ni Phd holder??? Nijuavyo mm yeye ni Medical Doctor lakini kwenye level ya Doctorate hajafika. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom