Recent content by Over the hedge

  1. Over the hedge

    JamiiForums Tanzania Nimeichoka boda wakuu. Mwenye Bajaji aletee tufanye kazi

    Bajaji mpya marejesho ni kiasi gani kwa siku ??
  2. Over the hedge

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

    Uzi mzima hamna demu hata mmoja naemjua 😂 Kweli sina connection ya madem wazuri 😂
  3. Over the hedge

    JamiiForums Tanzania Nafasi 320 za kazi Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)

    Ombeni hizi nafasi aisee kuna neema niliipata last yr
  4. Over the hedge

    JamiiForums Tanzania Natafuta portable power station

    Habari wakuu Naulizia portable power station kama hizi hapa chini za kuanzia watts 300 naweza kuzipata wap hapa bongo. Pia zinauzwa kiasi gani?
  5. Over the hedge

    JamiiForums Tanzania Ushauri kununua gari used

    Kwani passo ina shida gani haswa ??
  6. Over the hedge

    JamiiForums Tanzania Ushauri kununua gari used

    Hapa naona kama passo, vitz na starlet zinanipendeza zaid wakuu
  7. Over the hedge

    JamiiForums Tanzania Ushauri kununua gari used

    Shukrani kwa mawazo yako
  8. Over the hedge

    JamiiForums Tanzania Ushauri kununua gari used

    Habari za humu wakuu naombeni ushauri wenu kijana wenu nahitaji kununua gari used kwa mtu bajeti yangu ni 3M to 5M. Gari ambazo nazifikiria ni 1.Toyota Mark II gx 110 cc 2000 2.Toyota passo cc 1300 au cc 1000 3.Nissan march cc 1300 4.Toyota vitz cc 1300 au cc 1000 5. Toyota starlet cc 1300 6...
  9. Over the hedge

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Wanajeshi wanapaishwa sana mishahara yao sio mikubwa kama watu mnavyosema humu ndani. Tatizo humu watu wanachanganya vitu mada imeelezea taasisi zenye mishahara mikubwa yaani ni entry level ikimaanisha kwamba huo ni mshahara wa degree ambae ndo anaanza kazi kwa mara ya kwanza kwenye hio taasisi...
  10. Over the hedge

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Naomba kuuliza tena nikiwa na cheti cha form six na cha jkt naweza kuapply nafasi ya assistant investigator ?
Back
Top Bottom