Salaam zenu wana jf.Kwa kifupi nafanya biashara ya nyumba ya kulala wageni(guest house) iliyopo TEMEKE.
Nyumba yangu ya wageni ina vyumba saba (7) ambavyo kwa siku nina uwezo wa kuingiza tshs laki moja(tshs 100000) fixed kwasababu ipo uswahilini na wateja wengi sana na wateja wangu ni wa...
Yupo sahihi kwa maana wasipende kuingilia utaratibu wao. Wao wameshatoa ushahidi sasa watulize ball waache TAKUKURU wafanye kazi yao na sio kushinikiza as if wao ni TAKUKURU.
Wasalaam wana jf
Nahitaji kujua gharama za kufanya mabadiliko kwenye kampuni yangu kama yafuatayo kumtoa director na kumuingiza director mpya,kubadilisha mwenyekiti na address, kubadilisha umilikaji(Hisa) na kubadilisha jina la kati kati ila la mwanzo kubakia. Je documents gani zinahitajika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.