Kwa kumpa nafasi ya ukatibu mwenezi taifa pole pole, tulichemsha kabisa badala ya kuunganisha chama na wananchi yeye amejipa kazi ya kukitenga chama na wananchi. Hopeless kabisa.
ili kuwepo uwazi kwenye uchaguzi, nilazima pawe na combo huru chausimamizi (tume huru) kimuundo na kiutendaji. Na hii tume isiwe kwa ajili ya vyama vya siasa Bali kwa ajili ya wananchi maana ndio wa naotaka kuona kura zao ziaheshimiwa na kuthaminiwa.
Salam wana JF
Hivi karibuni kumekuwa na wimbi la wananchi, wanasiasa, viongozi wa dini, taasisi mbalimbali pamoja na baadhi ya Viongozi wastaafu kutaka iundwe Tume Huru ya Uchaguzi kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu, 2020. Upande wa pili kumeibuka kundi linalopinga uwepo wa Tume Huru ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.