Zitto amesema yupo tayari kurudi kundini lakini wakae yeye na viongozi wa chadema wajue tatizo lilikuwa wapi, kama yeye ndio alikuwa na makosa ataomba msamaha kwa wa TZ. na kama kosa lilikuwa la chama kiwe tayari kuomba msamaha.!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.