Kusini hatutakaa tumuelewe alitupora korosho yetu kibabe Kwa kutumia karandinga za jeshi
Wafanyabiashara wa bureau da change hatutajakaa tumuelewe alitupora fedha zetu kijambazi chini ya mitutu ya JW
Kuna walioporwa fedha Kwa nguvu ukikataa unapewa kesi ya uhujumu uchumi kumbe fedha zinafichwa...
Nchi inaongozwa Kwa mifumo sio mawazo ya mtu mmoja, hakuna wakati rushwa na ufisadi ulifanyika kama enzi za Jiwe tofauti ni kwamba aliamua nani afanye ufisadi na nani asifanye ongoza wewe familia yako Kwa mawazo yako ila nchi haiendeshwi hivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.