Muheshimiwa Tundu Lissu,
Kwanza napenda kukupongeza kwa kuteuliwa kwako kupeperusha bendera ya chama chako katika uchaguzi huu wa 2020.
Pili, Sera hii yako ya Mifumo ya kifalme ni sera moja kubwa na yenye mashiko makubwa na yenye uwezo mkubwa wakuleta mapinduzi ya kifikra kwetu watanzania na...
Hatuna shida na viongozi Madikteta!!! Walikuwa wamejianda hao ili kutafuta kiki ya kisiasa. Hata barua imeshachapwa. wao wafanye yao kwani lazima watuambie kama sio kutafuta sifa tuu?
I am tired of the guy basssiiii! sisi sio wamaana kwako kutusikiliza sasa unatafuta sifa kwetu za nini??
Mhesimiwa Mr President,
Mimi ni mtanzania mkazi wa masaki. Naomba nikuchallenge kidogo kwenye fikra kama ambavyo umetushauri watanzania kufanya badala ya udaku. Je unadhani kweli, mr president kuwa watu wamasaki tunauhitaji mkubwa wa daraja linalotoka mjini mpaka majumbani kwetu kwa sasa? Je...
Kweli siku zote inamweka mtu huru. Kwanza aache kusingizia vita dhidi ya Madawa ya kulevya kwanin watanzania wengi tunasapport vita hii ila tulikuwa atusupport njia aliyotumia. Pili yeye sio kiongozi wa hio vita, imeshapewa mkurugenzi. Mbona atusikii yeye akiulizwa vyeti au kulalamika na...
Yani wanaovunja sheria ni nani hapa? Wanao pitiliza mamlaka yao ni nani? Hii inasikitisha sana yani umeanza utawala wakuvunja sheria kwa vyombo vya kuilinda sheria yenyewe. Kwa ufahamu wangh mdogo polisi ndio wanaovunja sheria na ndio wanaopaswa wachukuliwe hatua ma sio wale wanaotimiza haki yao...
kweli wewe ndio uanze kwenda shule...unadiriki kuita katiba ya nchi ni karatasi tu. hio dhana(mindset) yakuona katiba ni karatasi tu ndio inayoikumba nchi za afrika kwa kupata viongozi wasioheshimu katiba kwasababu wanamtazamo kama wako.
Katiba ni sheria mama inayoongoza nchi au kundi la...
Hivi nyinyi mnaowatenga wachaga na watu wakaskazini kama vile wao sio watanzania mnadhani mnapanda mbegu gani? Yani kunakabila nchi hii ndio wao wanaruhusa kuliko wengine humu tanzania.
Kwanza wachaga wako kila mahali nchi hii wengi wamezaliwa na kukulia sehemu hizo na kupachukulia kuwa...
Mnasema aevunja sheria ni sheria zipi hizo?? Je kwani harusiwi kumsupport mtu kama mshauri?? Msitafute kuwaonea na kuwabambikia kesi ilu kuwatusha watu kujihusisha siasa za upinzani.
Yani huu ni ukweli kabisa. Sisi watanzania tunalalamika humu tu kuingia mitaani nakuwaonyesha watawala hasira zetu atuwezi. Tumekuwa watu waoga na wabinafsi sana. Tunajiwaza wenyewe tu na tunakosa uzalendo juu ya taifa hili. Wakati umefika wakulipigania taifa hili na sio kukaa kimya. The...
Hivi nyinyi mbona hampati picha?? Kaondoka katibu Mkuu wa taifa na bado tunasonga mbele kwa nguvu ..sembuse huyo?? Yeye nani?? Mko wagumu sana kuelewa kinachotokea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.