Recent content by Operation green light

  1. O

    Wenye uzoefu wa ujenzi wa nyumba tafadhali ushauri wenu

    Tutumie wataalamu jamani yaani umeamua kujenga nyumba ya 20+m laki kadhaa haziwezi kukushinda kumlipa mtaalamu. Quantity Surveyor (Qs) huyu amekaa darasani 4yrs plus uzoefu wa hizi kazi. Atakusaidia yafuatayo; 1. Kukuandalia BOQ kuonyesha ukubwa wa kila kipengele (element) na gharama zake mfano...
  2. O

    Ipi ni njia bora zaid kwenye kuanza ujenzi wa nyumba kati ya hizi mbili

    Kazi ya Surveyor ni kupima eneo na kulirasimisha upate Hati miliki. Kuhusu ku design mjengo wako muone Architect (Msanifu majengo) mpeleke site kwako yeye atakupa ramani kulingana na eneo lako. Ataangalia ukubwa wa eneo, uelekeo wa upepo, jua linakochomoza n.k kisha atakupa unachostahili...
  3. O

    Mnadhibiti vipi harufu ya "nnya" isitapakae hapo sebuleni?

    1. Mtafute plumber aangalie P-trap/ S-trap kama kuna leakage. 2. Weka Ventilation pipe 3. Weka Exhaust Fan, hii kazi yake inatoa hewa chafu ya ndani kupeleka nje.
  4. O

    Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

    Hongera sana kwa ku share story nzuri ya maisha yako. Binafsi nimeburudika na kujifunza mambo kadhaa. Nimegundua wewe ni mtu mstaarabu sana, nimepitia baadhi ya comments zinatia hasira lkn umebaki kua mtulivu na kumjibu kila mtu hekima. Big up
Back
Top Bottom