Indeed srt 4922 stands still despite of eruption of a number of receivers which appear and disappear in the market,for example best hd,g6,qsat etc..all these tried to challenge srt in vain!
Tatizo lake aliaminishwa kuwa hiyo rcva anayoinadi ni bora kuliko mnyama srt 4922...kuanzia leo atatamani kujaribu kuitumia hii mashine inayoweza kukumbatia channels 10,000!
Mimi nasubiri hizo srt atakazo ingiza toka kenya nakutuuzia kwa bukubuku! Anamasihara huyu jamaa hata bei na ubora wa...
Heshima kaka! Tunazungumzia QTV & NTV na kumuuliza mtu yuko wapi ni kutaka kujua mahali alipo na beam ya hizo signal zinamfikia kwakiasi gani ili kukadilia ukubwa wa dish linalotakiwa mtu atumie! Mfano wewe unalalamikia tbc lakini kwangu haijawahi kukata hata siku moja,iko clear kabisa...
Zinapatikana Mwanza kwa tshs 30,000/= ila nikipata jina la duka nitakujuza kuna jamaa yangu amenunua hivi karibuni. Ila angalizo: lazima upate fundi mzuri na akomae kweli kwani yahsat,nilesat sio zakujifunzia kutega kaka!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.