Recent content by oooza

  1. oooza

    JamiiForums Tanzania SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Wee jamaa kama wewe ni mwanaume basi uzao wako utakua umepata hasara.
  2. oooza

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Niendelee kubaki Private institution au niende nikafanye kazi ya mtu binafsi

    Nilivyo msikiliza nikikubali nitakuwa na power kubwa ya kucontrol site kimkataba. Salary almost the same ila kutakuwa na bonuses mbalimbali tofauti na huku ambapo nilipo. Bonus zilizopo siyo rasmi ni zakutokana na ujanja wa porini.
  3. oooza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Tena ina tangawizi nyingi😄
  4. oooza

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Niendelee kubaki Private institution au niende nikafanye kazi ya mtu binafsi

    Habarini wana jamvi. Kutokana na vijana wengi waliopata nafasi za kuajiriwa kwa mikataba ya muda maalum katika mashirika binafsi hujikuta kuendelea kuomba nafasi sehemu zingine huku wakiwa bado wapo katika mikataba yao ya awali. Binafsi nimejikuta nimesomea fani ya Ujenzi nikiwa chuo as a...
Back
Top Bottom