Nilivyo msikiliza nikikubali nitakuwa na power kubwa ya kucontrol site kimkataba.
Salary almost the same ila kutakuwa na bonuses mbalimbali tofauti na huku ambapo nilipo. Bonus zilizopo siyo rasmi ni zakutokana na ujanja wa porini.
Habarini wana jamvi.
Kutokana na vijana wengi waliopata nafasi za kuajiriwa kwa mikataba ya muda maalum katika mashirika binafsi hujikuta kuendelea kuomba nafasi sehemu zingine huku wakiwa bado wapo katika mikataba yao ya awali.
Binafsi nimejikuta nimesomea fani ya Ujenzi nikiwa chuo as a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.