Recent content by onyinye34

  1. O

    Wadada wa Tanzania msiokuwa na Ajira pitieni hapa!

    [emoji122] [emoji122] kabisaaa maana wamekuwa wengi matapel
  2. O

    Natafuta kazi yoyote na nimesoma Microsoft office

    Wakuu habar zenu.bado mdogo wenu natafuta kazi.nipo dar nina certificate ya computer na elimu yangu kidato cha nne.asanteni
  3. O

    Natafuta kazi yoyote na nimesoma Microsoft office

    Nashukuru pia naamin zote hizoo ni changamoto za maisha.mshukuru mungu kwa kuweza kukupa nafas ulionayo had leo unaweza kudharau hata usie mfaham ilaa amini cku zote hayo yote ni maisha tu ndugu.nashukuru kwa kunitukana na kunidharirisha.[emoji120] [emoji120]
  4. O

    Natafuta kazi yoyote na nimesoma Microsoft office

    Asanten piah mungu awabariki
  5. O

    Natafuta kazi yoyote na nimesoma Microsoft office

    Nashukuru pia kwa maneno yako
  6. O

    Natafuta kazi yoyote na nimesoma Microsoft office

    Asante kwa kunielewa ndugu
  7. O

    Natafuta kazi yoyote na nimesoma Microsoft office

    Wasi wasi wako tu ndugu naamn wapo waeelewa wameelewaa.
  8. O

    Natafuta kazi yoyote na nimesoma Microsoft office

    Kichwa cha habari kinajieleze mkuu
  9. O

    Natafuta kazi yoyote na nimesoma Microsoft office

    Mshahara ni maelewano baina ya bos na muajiliwa na kazi yenyewe ilivyo naweza nikasema mshahara mkubwa kumbe kazi si kubwa na ninaweza nikasema mdogo kumbe kazi ni kubwa.
Back
Top Bottom