Nashukuru pia naamin zote hizoo ni changamoto za maisha.mshukuru mungu kwa kuweza kukupa nafas ulionayo had leo unaweza kudharau hata usie mfaham ilaa amini cku zote hayo yote ni maisha tu ndugu.nashukuru kwa kunitukana na kunidharirisha.[emoji120] [emoji120]
Mshahara ni maelewano baina ya bos na muajiliwa na kazi yenyewe ilivyo naweza nikasema mshahara mkubwa kumbe kazi si kubwa na ninaweza nikasema mdogo kumbe kazi ni kubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.